Recent content by MoR 91

  1. MoR 91

    Tuoe Wapi?

    Sijajua vizuri kuhusu hizo nchi nyingine ulizozitaja ila Kwa upande wa Congo DRC na Zambia Nina uzoefu nao nimeishi nao Kwa kiasi nawafahamu Wanawake wa DRC Wapewe maua Yao kiukweli wanajua sana kujiheshimu na suala la uzinzi kwako aisee nimeishi nao sana Kwa kweli ni ngumu mno kumkuta...
  2. MoR 91

    Kuna mpenzi wangu nilikua nampenda sana (na bado nampenda) ila kanipiga tukio ambalo najiuliza nimsamehe?

    Duuuh Loss to your parents Kama walidhani wamezaa MWANAUME . Jifunze ku move on , acha kujishusha thamani kwa kumludia Malaya aisye na future hata ya maisha yake
  3. MoR 91

    KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    Ni kweli na wanahoja ya msingi Na hata Mimi binafsi namuona Lissu kama anaumamluki fulani hivi Lakini mbowe pia ana kaudikteta Fulani Shida ni kwamba Kwa Kuwa mbowe ameonyesha kuuza chama Kwa watawala na chama kimepoteza mvuto basi hana budi kumwachia mwenzie
  4. MoR 91

    KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    Kama tuihubiri DEMOKRASIA ya kweli Nchini, Tusisite kumwambia ukweli Mbowe asisite kuachia kijiti Cha uongozi Kwa wengine. Kama aliaminiwa na waasisi waliomtangulia yeye hana budi pia kuwaamini wengine pia Kwa maslahi mapana ya Chama na Taifa kiujumla TUNAENDA NA LISSU
  5. MoR 91

    Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Kiukweli kupitia andiko hili la Ndg Yericko nimejifunza mengi lakini niseme tu Alama za nyakati zimeshamgomea Mbowe kufurukuta mbele ya Lissu Mtu katangaza Nia hata wiki haijaisha angalia povu linavyowatoka
  6. MoR 91

    Watu waliokataa Magufuli asiongezewe Miaka ndio haohao wanashadadia Mbowe aendelee kuongoza. Ndio haohao wanakapinga CCM isiendelee! Unafiki mtupu!

    Umeandika Nini mkuu ? Mbona ni kama unajaribu kupotosha ukweli Vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa na serikali na vinapewa ruzuku ambayo ni Kodi ya wananchi ya wananchi ni vya wananchi wote . Ndiyo maana hakuna chama Cha wanachama bali vyama vyote ni Mali ya umma Ndo maana unaweza ukawa...
  7. MoR 91

    Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

    Samahani kama sitakufurahisha Kwa ushauri wangu , Hizi ajira zinapaswa kuangaliwa Kwa mapana yake la sivyo unaweza ukaishi maisha magumu isivyo kawaida. Hakuna sababu ya kuendelea kufikiria ajira Angalia nje ya box mbona watu wamejiajiri na wanafanya maisha safi yanaenda IF YOU DON'T LIKE...
  8. MoR 91

    Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

    Familia nyingi Zina migogoro mikubwa sana , na ukiifuatilia vizuri mingi kati ya hiyo husababishwa na wazazi. Tupo kwenye wakati ambao ndugu zetu wa karibu/wazazi ndo maadui zetu wakubwa kuliko watu Baki , NI VILE TU WATOTO HATUSHINDANI NA WAZAZI
  9. MoR 91

    Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

    Better live your life , usitafutie maisha nyumbani Go far away and expect nothing from no one Disappointment comes for those who trust must😭😭😭
  10. MoR 91

    Nilivyooa Kimasihara

    Andiko bora sana
  11. MoR 91

    Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

    Hakuna kiatu hapo mkuu , Nimeuza viatu 10+ years navifahamu sana
  12. MoR 91

    Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

    Ifike wakati tukubali kuto kukubaliana kifikra hatuwezi kufanana . Si Kila unachokiona muhimu kwako kitakua muhimu pia Kwa wengine . We are not the same and we will never be the same
Back
Top Bottom