Recent content by mopee9

  1. M

    Hivi mhaya halisia anatokea wapi mkoa wa Kagera?

    Hakuna kabila ya waganda kyaka kama hujui uliza missenyi wanaitwa babumbilo.
  2. M

    Naomba kujua kuhusu Usalama wa taifa

    Naomba kwa anayejua anifafanulie maana ya usalama wa taifa nini? Je, ni viongozi wa juu au nini? maana utasikia kama Mh Rais anaenda sehemu unaambiwa usalama wa taifa umejaa sehemu hiyo sasa kama hakuna kiongozi anakuwa sehemu fulani usalama wa taifa haupo au vipi? naomba kwa anayejua ABC's...
  3. M

    Mliofanikiwa mkiwa na umri chini ya 27 pitieni hapa

    Imeandikwa wapi kwa sheria ipi kwamba lazima ufanikiwe ukiwa na under 30?mafanikio ya mtu ni kutoka hatua moja kwenda nyingine mfano hukuwa na kitanda sasa unakitanda.taratibu mpaka mwisho wa Maisha yako lakini kuridhika kabisa kwa sasa inatosha haipo.ndo maana hata wakina bill gate ambaye hata...
  4. M

    Wahaya wengi ni wasomi lakini Kagera ni maskini kwanini?

    Kama ofisi yake si anaajiri atakavyo yeye? Je? Wewe ni mhaya kama sio maandishi yako hayana rojiki. Mwache wivu peleka watoto shule wasome bado ajira zetu zinatolewa kwa vyeti so wenye navyo watazipata hata liwe kabila moja.mfano watu wa mara walijaa jeshini na polisi kwa kuwa ni wajasiri lakini...
  5. M

    Wahaya wengi ni wasomi lakini Kagera ni maskini kwanini?

    Chanzo cha data na utafiti wake.usisahau kuweka sample size
  6. M

    Serikali haijali watu wake. Hii ndiyo stendi ya Bukoba wakati Kagera kuna watu milioni 3

    Danganya wasio ijua tanzania kama wewe unayefokiri dar ndo tanzania mimi kidogo nimefika miji tofauti ninaijua.bukoba huwezi fananisha na hizo sehemu.be critical thinker.stand haijajengwa ndio lakini sio kigezo cha kulinganisha .kama ni hivyo bado tanzania tuna safari ndefu ya kuelewa mambo.
  7. M

    Serikali haijali watu wake. Hii ndiyo stendi ya Bukoba wakati Kagera kuna watu milioni 3

    Hacha upumbavu wa kulinganisha no na gairo na chalinze.kwanza fahamu tofauti kati ya mji,halmashauri,na manispaa.
  8. M

    Serikali haijali watu wake. Hii ndiyo stendi ya Bukoba wakati Kagera kuna watu milioni 3

    Sio kweli moshi napafahamu vizuri masoko yapi ya kimataifa hapo himo ?
  9. M

    Ndoa yangu ina mwezi wa 9 sasa lakini imekuwa ya kutoelewana

    Kama ulifikiri ndoa raha tu unajidanganya kuna karaha tena nyingi huo mwanzo tu.na wote wako hivyo kinachobaki uamuzi wako.vumilia
  10. M

    Uzee: Maana, kuzuia uzee wa mapema,changamoto na jinsi ya kuwatunza wazee

    Mbona miaka 18 siku hizi hata 1 kukojoa shida
  11. M

    Uzee: Maana, kuzuia uzee wa mapema,changamoto na jinsi ya kuwatunza wazee

    Kumekuwa na wimbi la watu kutaka kubaki vijana daima lakini pia hoja mchanganyiko juu ya ujana na uzee.je ujana unaishia wapi na uzee unaanzia wapi?
  12. M

    Mnaokwenda kuoa mkoa wa Tanga tafakarini mara mbili

    adolay, Mawazo tu hakuna wakumridhisha mwanamke hata shetani alishindwa
Back
Top Bottom