Recent content by moowaji

  1. M

    Jeshi la Israel lavamia Studio za Al jazeera wakiwa live

    Tunasubiri Jumuiya ya kimataifa kulaani kuhusu uhuru wa habari, au mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu
  2. M

    Tanzania haiwezi survive bila Wazungu. Rais aache kuhadaa wajinga

    hapana sio wazungu, akiamua aliyemuumba.
  3. M

    General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

    hawa hawa wanaodai katiba mpya, na wanaotia nguvu katiba ifuatwe, sasa wanasema Mobeyo angepindua meza, stupid
  4. M

    Mimi ni Mtanganyika

    Sasa ardhi yote iliyokuwepo huku bara niende nikanunue ardhi Zanzibar ya nini mkuu. yani kwa mfano huku Tanganyika kuwepo na eneo mathalan 1000km square, na kule Zanzibar ni 1 km square, unaacha chako kingi unaenda kumwambia mwenzio aliyenakidogo akupe na kidogo chake ukimiliki. huo utakuwa...
  5. M

    Mimi ni Mtanganyika

    kama Zanzibar sio nchi, Tanganyika ni nchi?
  6. M

    Mimi ni Mtanganyika

    wamembagua nani mkuu
  7. M

    Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

    Kwa hiyo hili nalo ni lawama kwa rais? serious!!
Back
Top Bottom