Recent content by MOOSHEKY

  1. M

    Rosemary spice plant

    wadau naomba kufaham kwa .wenye kujua wapi nawezapata soko la spice aina ya rosemary popote tanzania.....natanguliza shukran
  2. M

    Waliokua wanasema UDSM wote wanapata kazi ila UDOM hawapati kazi wako wapi?

    nimemaliza udom na nipo nondo kumzid hata aliyemaliza havard aliyewadanganya chuo kikuu watu wanaenda kufundishwa ndio kawaingiza chaka kubishana chuo gan ni udom na udsm cwatofautish na wale wanaobishana nan kaanzisha kiduku....pumbav kuwa nondo kwa mtu hakuhusiani kwa namna yytr na chuo...
  3. M

    Ni wapi kuna soko la mmea aina ya Rosemary

    wakuu kwa mwenye kujua wapi nawezakupata soko la uhakika la mmea ambao hutumika kama tiba na viungo vya nyama na mapishi mbali mbali unaotambulika kama ROSEMARY PLANT....natanguliza shukran
  4. M

    Kumfukuza kazi Rished Bade ni kumpiga teke chura?

    aliwahi kusema masaburi juu ya watu wanaowaza kwa kutumia MAKALIO...unamsema jk kwa udini ila udini wako ww umeanzia kwenye fikra zako..unadhani wanaopita humu jf ni masalia wenzio wa ubatizo wa maji ya chumvi tu? pppumbbavv.... hiiyo point yko ipeleke kwenye topic za dini sio hapa watu...
  5. M

    Tujadili kuhusu nyumba za serikali

    huna cha kujadili toa jipya ....kama kuuza nyumba kwa serikali ni haramu basi shirika la nyumba la taifa lisitishe mpango wa ujenzi na uuzaji wa nyumba za gharama nafuu kwa watanzania
  6. M

    Nimeshaomba kazi mara 250, sijabahatika!

    Ni lazma dhahabu ipite kwenye moto mkali ili iweze kua ''pure'' kaza buti dude
  7. M

    Je, wajua? - Special Thread

    Je mwajuma unajua kama nakupenda?
Back
Top Bottom