Haifai kwa muislam kutetea dhulma.
Mtume ﷺ amesema: katika hadithi iliyopokelewa na swahaba Abdullah Bin Umar رضي الله عنه
"Msaidieni ndugu yenu, awe dhalimu au kudhulumiwa."
Maswahaba wakashangaa: “Ewe Mtume wa ALLAH tutamsaidiaje dhalimu?”
Akasema: "Kwa kumzuia asifanye dhulma."
(Bukhari na...
Sera zao, katiba yao na wana wana taasisi imara,
Sisi hapa sijui kwenye sera tupo vipi,
Ama katiba tunayo ya GOD SAVE THE QUEEN ( katiba ya President ndio kila kitu, ya kenya President RUTO si kila kitu.)
Taasisi zetu ni Mfu- Bunge la Serkali
Mahakama ya Serkal na Serkali ndio kila kitu...
Vitu vingine huwa vinasababishwa na ufinyu wa kujua masiala (UJINGA).
Inapendeza sana kwa ile dhana iliyojengeka kuwa JF members ni Critical thinkers atleast ungefanya katafiti japo kadogo kusuhu lile unalotaka kulihudhurisha katika uwanda huu.
Ama kama hujui , Achana na Persian & arabian...
Qur'an haikushushwa kama kitabu kutoka Mbinguni bali malaika JIBRIL (alayh salaam) ndiye aliyekuwa akimfundisha MTUME kisha yeye akihifadhi kichwani na kuwafundisha MASWAHABA zake.
Na MALAIKA alikuwa akija kumfundisha mara kwa mara kwa kipindi cha miaka 13.
Kwahiyo si kuwa Quran ilishushwa kwa...
Mkuu hivi una habari kuwa Makafiri ndio wameziharibu Libya, Afghan,Iraq, Syria, Lebanon ,Palestine na sasa ndio wanaoendeleza fujo kwa Mashia wa Tehran?
Uislam ni Mzuri na umetufundisha kuishi na Yoyote, na unatuzuia vikali kuanzisha vurugu.
Unaweza nitajia Nchi moja tu ya nilizitaja hapo...
Nadhan mwanadam hupitia mapito mengi na huwa anayo nafasi ya Kurekebisha sehem ya makosa.
Pole pole for sure mimi nimefarijika mno kwa pole pole kujiziuzulu regardless kuwa ni mwisho wa muhula wa Raisi aliyepo madarakani.
Na namkubali sana huyu Mtu.
Nadhan chapisho lako lingekuja kabla ya...
Hayo yanabaki kuwa Mawazo yako na nadharia isiyoweza kutimia.
Sijajua upo wapi lakin uislam unasomwa na unaendelea kusambaa kwa kasi kuliko karne zilizopita,
Wakati wewe una mashaka juu ya Uislam kudidimia na kupotea katika karne hii wazungu wanaumiza vichwa juu ya kasi ya kuenea kwa uislam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.