Itatuchukua mda sana Tanzania kubadilika na kuendeleza mpira kiukweli na sijui ni ubabaishaji gani upo katika hizi timu mapacha maana amani iliopo Yanga ninahakika haitadumu Itahamia kwa mtani wetu na Sintofahamu ilioko kwa mtani itahamia yanga hilo halina ubishi
Mwka ajana...
Rais kikwete amewataka watanzania kuungana pamoja kuiombea yanga hata kwa wale wasio mashabiki wa yanga mikia na wengine wote. Imetolewa na wizara ya Habari
Nahitaji mwanamke mzuri na mwenye kazi yake anapata kipato chake, mimi nina umri wa miaka 28 sina mwanamke kama yuko ambae yuko tayari kuwa na mimi anicheki ibox.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.