Duh! hii sasa kali kuliko, kweli tunafanywa mazuzu kiasi hiki?
Hapa tunaongelea share ya 100% ya 20% ya mfanyakazi wala si kutupotosha.
jumla ya monthly 20% zote za mfanyakazi= 100% ya makato yake yote hadi anapo acha/staff kazi.
Kwa taarifa yako sasa hivi hiyo ni ishu ya kiusalama zaidi! no more discussions/follow up on it. Umesahau habari ya ile meli yetu?
Operations za kijeshi( sio polisi) hazijadiliwi hovyo hovyo mkuu. sasa ni usalama zaidi.
Wakati mwingine hao huwa chanzo cha mabadiliko KwA nguvu ya umma! Huwatia watu hasira wakasema liwalo Na liwe! Hapo hakuna cha jeshi wala polisi, kinachofuata ni kuheshimiana. Acha waandishi hao Na waajiri wao waendelee tu, ili waiharakishe hiyo siku.
Muhammad boodia aliwahi sema hivi -right is...
Naam, je Iraq hawakuchoma Bendera Na kuchoma masanamu ya yule aliyedhani ni mpendwa?
Je walijua wakati huo utafika?
Amin amin nawaambia, KwA jinsi hii wakati huo unaharakishwa sana sasa! Ole wao waliotiwa upofu KwA madaraka Na mamlaka wasisome alama za nyakati.
Hapa ndipo mnapokosea, mnalazimisha kuligawa taiga kwenye mambo muhimu ya kitaifa. Chadema ni chama cha umma, je mnataka wanachedama wote wasipende mafanikio? Mbona mnataka kujimilikisha kila kitu nyinyi? Huo ni mtazamo finyu sana.
Hoja iliyo mezani ni nzuri,nzito na ya maendeleo na ustawi jumuishi wa kitaifa, wewe unaleta upuuzi tuu hapa! aibu iliyoje kwa walimu,walezi,wazazi,waajiri na marafiki zako? akili yako imefanywa nini wewe? huyo anaye kutumikisha sasa hivi: kiakili,kimwili na kimawazo hawezi kuwa mtu mwema...
Kwani si hata W.A.B.U.N.G.E pale D.O.M. walitoa gawio? au ilikuwa nini ile? halafu baada ya hapo shughuli zao nyingi nasikia hazikwenda sawasawa kwababu ya U.K.A.T.A.
This is in accordance to the principle of B.U.N.GE as written,confirmed and accepted by our elects at D.O.D.O.M.A
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.