General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Wana Jukwaa,
Tayari Mhe, Rais amekwisha toa agizo/order kuwa suala la korosho litasimamiwa na Jeshi la Wananchi chini ya JKT.
Tumeshuhudia Waziri wa kilimo na Waziri wa viwanda/biashara wametumbuliwa kwa kushindwa kuendana na matarajio ya Rais.
Rais ameliamini sana Jeshi na kuipa imani kubwa kuwa linaweza shughulikia swala hili kwa ufanisi mkubwa.
Mi nina wasiwasi mkubwa sana pale Matarajio ya Rais yasipotimizwa kama anavyotaka.
Je ikitokea Rais hakufuraishwa na utekelezwajwi wa operation hii ya Korosho na Jeshi letu, tutegemee nini??
Je Bado Rais atakuwa na imani na Jeshi letu??
Hatari.
Tayari Mhe, Rais amekwisha toa agizo/order kuwa suala la korosho litasimamiwa na Jeshi la Wananchi chini ya JKT.
Tumeshuhudia Waziri wa kilimo na Waziri wa viwanda/biashara wametumbuliwa kwa kushindwa kuendana na matarajio ya Rais.
Rais ameliamini sana Jeshi na kuipa imani kubwa kuwa linaweza shughulikia swala hili kwa ufanisi mkubwa.
Mi nina wasiwasi mkubwa sana pale Matarajio ya Rais yasipotimizwa kama anavyotaka.
Je ikitokea Rais hakufuraishwa na utekelezwajwi wa operation hii ya Korosho na Jeshi letu, tutegemee nini??
Je Bado Rais atakuwa na imani na Jeshi letu??
Hatari.