dada kuwa makini nimetafuta kazi humu kwa miezi kadhaa
Ila ninachokutana nacho ni mitihani
Mtu atakuomba namba picha na kuitwa hotel
Ukizubaa umeliwa.
Kila la heri.
Kwa mfano mimi,nimeuza chapati ila hazina faida zaidi ya 50
Kulinganisha na hali ya maisha kueza kusave ni ngumu
Vitafunwa vingine madukani wanakataa wanachukua kutoka kwa bakhresa
Hili la matunda inabidi kuwa hata na kimeza hauwezi kuuzia chini
Kuna kipindi nilitafuta 20,000
Ya kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.