Sometyms mi naona sex ni njia nzuri ya kuwaconnect wapenzi otherwise mtakua wapendwa tuu...
Anyway siku izi hakuna honeymoon... watu washakula honey sikunyingi wamebakiza moon tuu...
Umasikini unakuita kwa fujo... We uonagi wachaga wenzio wanaacha wake zao rombo wanaenda mjini kutafuta hela!! jirekebishe... kugegedana kupo tuu tafuta hela kwanza..
My dear Heaven on earth.. Mimi ata utoe mimba zangu kumi siwezi kukuacha as long as bado tuna pendana..najua you did it for a reason... ndo maana nikasema mimba kitu gani!!!Huwezi ukamwaribia mtu future kisa mimba bana..
Nawaonea huruma kwasababu ina wa affect kiakili na kimwili... unajua kuna watu mimba kwao ni mtihani mzitoo...
Usipotumia kinga kitu cha kwanza mnachosemaga "Naogopa mimba".. hamuwazi ata HIV!!!
Mimba sio mpango wa Mungu ila mtoto ndio mpango wa Mungu... Mimba kitu gani banaaa ata ng'ombe anabeba.. Mi binafsi nawaoneaga sana huruma wadada wanaoflash.. ila ujue anayefanya ivyo yamemfika kooni.. Anyway amua kwa makini...
unaweza tafuta mwingine kumbe katoaga mimba 20 huko nyumaa...
Ni wazo zuri sana.. Endelea na moyo huo huo...
Anzia ustawi wa jamii watakupa kibali then unaenda mahakama kuu kupewa hati ya uthibitisho ya kuasili mtoto..
Miaka 22 tuu.. ata mboga haijakomaa... Mdogo wangu kwanza najua huna kazi na unataka maisha malaini, unatafuta magonjwa tuu... wanaume tumeumba matesooo na kuhangaika.. we endelea kukalisha nyago subiria kulelewa... KOMAAA!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.