Asante dada mtoa mada kwa kunifungua macho maana nipo hapa nimejikatia tamaa kabisaaa coz I thought sex is love now I guess ntafanya vizuri next time, big up saaana kwa kututoa wengi shimoni
Nyumba ndogo wanaume nao mnachangia sanaaa, ila tunalaimiwa wadada eti tamaa, hapana, mimi nimekuwa victim and am very hurt nimekuwa na mkaka for three years bila kujua the guy is married na ana two kids, mie nipo dar kumbe yeye ana mke kijijini kwao na sjawahi hata kumhisi mwisho wa siku juzi...
Huwa nasoma tuu uzi za watu huku ila ikinigusa sana kama hii nashindwa kuvumilia, wanaume wa aina hyo watu wawe nao makini mi huwa nawaona kama gays and to me they are disgusting!!!!!!! Arrrrrrrgh!
Mimba inajulikana kuanzia siku saba so inaweza ikawa ukweli au unaweza kuta hana mimba na wala hajapima ila anataka akupime akili kama unampenda au la na kama unampenda je uko tayari to take responsibilities of ur actions?!
Pole sana mdada, najua inauma sana coz i was also in the same situation in the past two weeks, try to forget abt it and moove on maisha yanaendelea binadamu tunatofautiana mwenzangu!
Thanks happy new year too@ Rutashobolwa,
Huyu dada inavyoonekana anampenda aliyempa mimba na sio mchumba ake and she has made up her mind already hapa anataka confermation tuu ya alichokiamua
Kiukweli mimi sio mzoefu sana hapa jf huwa nasoma tuu uzi za watu na kuacha bila kuchangia ila hii ya kwako imenigusa, Pole sana mdada, i can imagine what ur going through sasa hivi, am a woman na najaribu kujiweka in ur position naona jinsi ilivyo ngumu, ila usiolewe na mtu eti for the sake of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.