Unawaza ngono tu, hukumbuki sodoma na gomola walivyoangamizwa, Jehanamu itakuwa inakuita wewe siyo bule. Alafu uanze kujiliza Ooooooh maisha magumu wakati unawaza ngono. Mkumbuke Mungu wako siku za ujana wako maana zinakuja zilizo mbaya zaidi
Acha unafiki PTER, Mweshimiwa Rais hata aongee vitu vya maana na vya msingi wewe huwa ni kuponda tu.! Binadamu bna, unataka awe anakuletewa kilo ya nyama kila cku! Seeeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.