Recent content by Monetary doctor

  1. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Nipo zangu na MGR huku tunajikongoja ni kulewa mpk tufike kahe cc min -me
  2. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Nimejaribu kukata tiketi inagoma Ila wameonyesha kesho safari ipo kutoka Moshi jioni kuja dsm
  3. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Sijajua mkuu January nilikuja nalo ngj nikuchekie ratiba nakujibu soon
  4. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Kama mwanamke hajakuomba pesa usijipendekeze kumpa. Kuomba ni sehemu ya kujishusha kwako

    Kila mtu atumie hela zake km husumbuliwi na mtu huyo
  5. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Yaan inakuja na kila kitu Kuna maji yalikuwa yanazalishwa rombo sequa km sikosei Ila wenyeji hawayajui yanauzwa mikoani hata Dodoma yalifika chezea mrombo nn 😂
  6. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mawifi hawawapendi Wake wa Kaka zao? Madini yaliyojificha kwenye wimbo '12,600 Lettres' wa Franco Luambo

    Haya majibu ya AI jitahid utuwekee audio yake
  7. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Me nishazoea MGR ni kujikongoja huku tunalewa mpk moshi
  8. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Eeeh kaka Kuna mpk zinatoka rombo 😂
  9. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Hahahaha kwann binafsi naona nina genes za kutokuwa na nyama nyingi nakula km mchwa mpk watu wanashangaa
  10. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Heineken naona wanasema zipo fake nikqachaga napendelea Heineken kwanimpoted beer
  11. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mawifi hawawapendi Wake wa Kaka zao? Madini yaliyojificha kwenye wimbo '12,600 Lettres' wa Franco Luambo

    Nachojua wanawake wote ni mawifi na wote wana matatizo sjui hv mara vile
  12. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Kwa week three au twice Ila weekend moja kwenye sku hz ni tano sana ni sita
  13. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Naomba Mkopo wa kukopeshwa

    Inawezkn the worst, mara nyingi nikiwa na shda na-m-refer manager wangu directly.... Ila Hawa wa view status km mimi jau sana mzee ingawa ni wachache
  14. Monetary doctor

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Me mzee wa safari lager bwashee
Back
Top Bottom