mimi naota napambana na watu alafu nawashinda wanaondoka mda mwingine wanarudi nawashinda tena ila tu sura zao sizijui,mda mwingine mpaka naamka kabisa na kuwasha taa moyo ukienda mbio,hii itakuwa ni nn na je nifanye nn ili niwajue sura zao??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.