Recent content by monaweito

  1. M

    Waraka Maalum kuhusu URAIS kwa Wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA

    Kama wanataka kugombea urais kwa maslahi yao wako sahihi kutangaza nia zao lakini kiongozi ambaye anahitajika ni yule atakaeteuliwa na kutumwa na chama chake ili akaliongoze Taifa letu kwa maslahii ya Watanzania
  2. M

    Waraka wasambazwa

    Watu wanaotumia udini kuchonganisha wenzao katika jamii ni hatari kama ugonjwa wa ebora
  3. M

    Madai ya waislam kuhusu sensa 2012

    mimi nadhani ni vizuri kumtambua mtu kua ana dini kwa matendo yake na sio kwa uislam wala ukristo wake.
Back
Top Bottom