Recent content by mommythebest

  1. mommythebest

    Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

    Paskali wakianza naomba ukawaulize mbona ulipoandika ile makala ya kuwata watu wamtetee mtukufu kutokana na kauli za kina The Economist mbona hawakukuita ujieleze? Au wao wanataka sifa, utukufu na mapambio tuu!?? I
  2. mommythebest

    Sasa ni zamu ya Ruangwa: Uwanja wa michezo wa kisasa kujengwa wilayani humo

    Hivi kweli jamani kipaumbele ni uwanja wa mpira jamani kweliiiiiiiii??? Hivi huko Luangwa kuna maji safi ya kutosha? Hospitali zina facilities za kutosha? Shule zipo za kutosha na facilities zake? Hivi sisi huwa tunafikiri kwa kutumia nini jamani?? Au vichwa ni kwa ajili ya kufugia nywele...
  3. mommythebest

    Nukuu za Humphrey Polepole kwenye kikao cha CCM jimbo la Mikumi

    [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
  4. mommythebest

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania: Nchi inatukanwa, Rais anatukanwa, tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Bla bla bla.... Labda kwanza tuanze na kueleweshana maana ya neno uzalendo. Je uzalendo ni kumtetea raisi anapoongelewa vibaya?? If that's it, basi wengi suo wazalendo. Lakini kama uzalendo ni kudai katiba iheshimiwe basi Paskali umejichanganya vibaya sana. Badala ya kulilia watu waanza...
  5. mommythebest

    Morogoro: Mji wa ovyo, barabara nyingi mbovu zina mashimo

    Moro kwa hovyo kweli. Kule mjini ndo oa ajabu ajabu, ki stand cha daladala kidogoo, vibarabara vyembamba, soko kuu chafu chafu sana full matope. Yani mji wa hovyo sana
  6. mommythebest

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Mwakyembe ni jipu kuu ambalo watu wa Kyela sijui wana-manage vipi kulivumilia. Alipaswa asichaguliwe muhula wake wa kwanza tuu ulipoisha. Hakuna la maana analofanya. Afu qanasaidia watu anawaletea figisu. Mxeeuuuuuuu zake
  7. mommythebest

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Naona umekosa pa kupeleka hasira zako. Mada ni kuhusu huyo bwana Fulton, wewe umeanza kuleta bitterness na frustrations zako hapa. Kuanza kutukana watu bila sababu. Kama ulikutana na mwanamke malaya from Kyela ndo ujumuishe watu wite!? Uncultured swine...
  8. mommythebest

    Kyela Mbeya: Tangu mwaka 2014, William Fulton mmiliki wa kituo cha mango tree amezuiliwa kuingia nchini Tanzania

    Lazma ulipigwa kibuti halafu ukanyang'anywa vitu vyote na kufukuzwa kama mbwa na mwanamke kutoka kyela. This bitterness is too much. Go get a life... Shame on you. Mxeeuuuuuuu
  9. mommythebest

    Pasco Mayala; Mkongwe wa habari tufafanulie Hali hii kwanini

    Hahahahaha nimecheka jamani, eti mada ya ki-mnyeti, yani u made my day. ila ungesema mada ya kinyeti [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  10. mommythebest

    MwanaKJJ Jumatano: Jaji Kaijage Anapata Shida Kusimamia Uchaguzi TZ?

    Nakumbuka hata Jecha alipongezwa hadharani....
  11. mommythebest

    MwanaKJJ Jumatano: Jaji Kaijage Anapata Shida Kusimamia Uchaguzi TZ?

    Mzee sijui kama unaelewa top officials wa serikalini wavofanya kazi kwa hofu na kujipendezeka awamu hii. Vituko tunavyovishuhudia huku unatamani kulia na kucheka kwa wakati mmoja. Watu wako terrified, wako terrorized hadi mtu hata amuzi dogo tuu anawaza what if mkuu akija kuniuliza hapa... Yani...
  12. mommythebest

    Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

    Elimu bure hii hii ya shule moja yenye wanafunzi 500 na mwalimu mmoja? Hii hii ya wanafunzi wanosomea kwenye madarasa ya manyasi au chini ya mkorosho? U kidding Paskali. c cm haitoondoka madarakani bila kufurushwa
  13. mommythebest

    Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

    Point noted: Risasi ingempata mlengwa saivi tungekuwa tunazungumza mengine ......
  14. mommythebest

    Mbezi, Dar: Waziri Ndalichako, Masauni na IGP Sirro wafika nyumbani kwa Mwanafunzi Akwilini

    Ingekuwa nchi za watu wanaojitambua, hao viongozi ilipaswa wapokelewe na mabango ya kulaani na kukemea hibo vitendo.. Yani wasingekaa kwa amani hapo kama wameenda kuhani msiba wa kawaida. Laana iwe juu ya wote waliohusika na kitendo cha kikatili hicho
  15. mommythebest

    Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali?

    Kwa sababu ccm wamefanikiwa ku-invest kwenye ujinga wa wananchi. Kwa sababu wananchi wengi wa Tz ni wajiiiiiiiiinga kupindukia.
Back
Top Bottom