Recent content by Mommadou Keita

  1. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    JAMANI NAHESHIMU KAULI YA HUYU MDAU... MAANA NI YEYE PEKEE ALIYEJITOKEZA KUTOA MAONI YAKE ASANTENI SANA
  2. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    Asante mkuu nimeacha kuanzia sasa sitaandika tena.
  3. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    Sijakuelewa mkuu Muungano na mambo haya yanaingilina vp? Au umekosea post?
  4. Mommadou Keita

    Hivi Wapenzi wa Muziki wa Congo DR hasa Masebene na Rhumba hapa JF hatuwezi kuja na huu Utaratibu?

    Tafuteni Ngoma za JB Mpiana kama vile Omba, Feux de L'amour au Recto Verso ni Rhumba za hatari na hazichoshi.
  5. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    KICHAA CHA MAPENZI-4 MTUNZI MOHAMMED J. KUYUNGA Meddie aliendelea kuzunguka katika eneo lile akitafuta hicho alichokuwa akikitafuta hadi Harry alipomfikia. “Meddie… Meddie… Meddie…” Harry alimwita na kumshika rafiki yake na kumtingisha kwa nguvu, kitendo ambacho ni kama kilimzindua kutoka katika...
  6. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    KICHAA CHA MAPENZI- 3 MTUNZI MOHAMMED KUYUNGA MEDDIE alimkuta Harry akiwa amesimama pembeni kidogo na pale alipomwacha alipomkimbilia Asia. “Vipi mwamba umefanikiwa nini?” Harry alianzisha mazungumzo baada ya kuuona uso wa rafiki yake ukichanua kwa tabasamu. “Kama ni nyumba ndio kwanza nimeanza...
  7. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    KICHAA CHA MAPENZI - 2 BAADA ya kumaliza kifungua kinywa, muda wa kurudi darasani ulikaribia. Marafiki hao wakatoka katika mgahawa na kurudi shuleni. Wakiwa wanatembea kwa mwendo wa pole huku wakizungumza hili na lile, hawakuwa mbali sana na shuleni. Ilikuwa ni takribani kama mwendo wa dakika...
  8. Mommadou Keita

    Hadithi: Kichaa cha Mpenzi

    Sehemu ya 1 JINA lake kamili aliiitwa Meddie Manyara. Hii ilikuwa ni mara yake ya kwanza kukanyaga katika majengo ya Shule ya Sekondari ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Meddie alikuwa amehamia katika shule hiyo na kujiunga kidato cha nne akitokea Tabora alikokuwa akisoma katika Shule ya...
  9. Mommadou Keita

    Tido Mhando ameteuliwa kuwa kaimu-Mkurugenzi mtendaji, Uhai Production Ltd (Azam)

    KAMPUNI ya Azam Media Limited, leo imetangaza kuwa Tido Mhando ameteuliwa kuwa kaimu-Mkurugenzi mtendaji, Uhai Production Ltd.(UPL). Tido, anaungana na Rhys Torrington ambaye ni Mkuregenzi Mtendaji Mkuu wa Azam Media Ltd na mtangazaji huyo maarufu wa mpira zamani nchini, Mhando ataanza...
  10. Mommadou Keita

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kuna haja gani kuanzisha huduma ya kutoa huduma kwa haraka kwa baadhi ya watu? Hamjua kuwa kila Mtanzania ana haki ya kupata huduma ya haraka? Sikieni kama kweli mnataka kuendelea kuwa namba moja Tanzania na Afrika kwa jumla jitahidini kuwa na huduma za haraka kwa kila mteja wenu. Unaingia...
  11. Mommadou Keita

    Hadithi mpya: Moyo wangu

    ILIPOISHIA... “Masikini Deo, najua ni kiasi gani unaumia, najua kwamba ni jinsi gani ndoa yako itakavyokuwa ngumu kufungwa. Bila shaka mmebakiza wiki tatu tu, sidhani kama utaweza kupanda madhabahuni ukiwa katika hali hii...pole sana...ni majaribu tu ya shetani,” akatamka kwa yakini, akiongea...
  12. Mommadou Keita

    Hadithi mpya: Moyo wangu

    ILIPOISHIA... “Mungu wangu, atapona kweli?” “Uwezekano huo ni mkubwa sana lakini yafaa tuombe Mungu, naamini atakuwa sawa.” “Naweza kwenda kumwona tafadhali?” “Bila shaka!” Dokta akamjibu na kusimama. Akaonesha ishara kwamba Cleopatra amfuate. Akasimama na kumfuata nyuma yake. SASA ENDELEA…...
Back
Top Bottom