Recent content by mombasafinest

  1. M

    Mke wangu aliwahi kubakwa akiwa binti Leo ananieleza hajawahi kuwa na hisia ya mapenzi maisha yake Yote naombeni ushauri

    Majibu yote unayo hapa kumbe..Shukuru sana huyo mwamba amempotezea. hakupendi huyo. Ana mtu wake... Lala mbele Masta
  2. M

    Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

    Ghairi-Ghairisha-Hairisha....
  3. M

    Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

    Mzizi Wa Neno Ni "GHAIRI" Hapo likazaa Neno Ghairisha.... Mathalani kwa wepesi Wa matamshi Na uandishi likaja Neno Hairisha
  4. M

    Majaliwa: Tumemkamata muingizaji Dawa amemeza Paketi 86, Serikali imemlisha Pilau na Biriani ili zishuke, na zimeshuka zote ardhini

    Mkuu gram 100 au 10? GM 100 Ni Kama Ile packet ya glucose au baking powder mkuu. Hawawezi kufunga gram 100. Itakuwa gram Kumi au Tano.
  5. M

    Kuna diary zangu niliziandika kwa mda wa miezi sita mwaka 2022 nilikuja kuzichoma moto

    D uh... Sasa Na kina Elon Musk wangechoma moto za kwaio Leo tusinge kuwa hapa kiteknolojia. Kwani Kuna wake wabeba maono. Na Labda wewe Ni mmojawapo
  6. M

    Dawa hii inayumika kama sumu ya panya. Je, ni salama kwa matumizi ya binadamu?

    Ki Kinacho zingatiwa hapo Ni dosage yake ya matumizi. Kwa panya unapochanganya una over dose Kwanza kiumbile panya haiwezi himili dosage ya binadamu Haya ya mtoto mchanga. Hivyo kinachotokea ni kuwa panya akiitumia hio Dawa unaenda moja Kwa moja kwenye mifupa ya panya Na badala ya kuitibu Na...
  7. M

    Mghana aliyeunda Earbuds za masikioni zinazoweza Kutafsiri lugha zaidi ya 40 kiswahili kikiwemo

    https://www.jamiiforums.com/threads/earphones-inayoweza-kutafsiri-lugha-zaidi-ya-40.2143057/
  8. M

    Mghana aliyeunda Earbuds za masikioni zinazoweza Kutafsiri lugha zaidi ya 40 kiswahili kikiwemo

    https://www.jamiiforums.com/threads/earphones-inayoweza-kutafsiri-lugha-zaidi-ya-40.2143057/
  9. M

    Ukweli mchungu: Kununua ni bora mara mia kuliko mahusiano

    A Anakuwa mpya kijiwe hicho Tu ulichopo. Huko alikotoka je?
  10. M

    DOKEZO Boti inayosafirishwa kutoka Mtwara kwenda Mwanza ni Kero barabarani. Waichinje wasafirishe Vipande

    Haiwezi kupitia Morogoro kama inapitia njia ya Ruvuma na Njombe... Makambako-mafinga-iringa-dodoma-singida-tabora-shinyanga-mwanza
Back
Top Bottom