Mimi ni mteja wa Shabiby bus service kwa muda mrefu. Kiujumla wako vzr. Mpigie meneja, yuko smart sana. Anatake action mara moja. Ishu ya muziki mkubwa usiku ni kitu kibaya in any way. Huo ni uzembe ya konda, siyo dreva, wala kampuni. Makonda wa usiku wapewe general instructions kwa usiku mziki...
Wazo zuri sana. Ndo maana NINAIPENDA CCM YANGU. We are in the digital era. Kwa nini kuingia cost kubwa ya kusafirisha wajumbe? Hongera sana MAMA SAMIA kwa ubunifu huo. Pili, majina ya wagombea wote yapigiwe kura na wajumbe ili kuleta HAKI. Mtu asikatwe kabla ya kupigiwa kura. Kura za wajumbe...
Nilishasema Fr. Kitima ni KADA KONKI wa Chadema, toka alipokuwa SAUT. Na anatumia TEC kuendesha kampeni ya siasa ya Chadema. Let us be honest,Kitima ni mwanasiasa pure. Hafai kuwa kiongozi wa kiroho. Huo ndo ukweli.
Baadhi ya watanzania WANAABUDU masaskofu/wachungaji wao. Nenda kasome kitabu hiki, "The Role of the Catholic Church of Rwanda in the commission of Genocide Crimes in Rwanda." Hapo utajua upuuzi wa hao viongozi wenu wa dini. Rubbish!
Huyo askofu uchwara alifanya kosa linalojulikana kama "utra vires", kwa kuitishia serikali eti iwaachie mara moja,bila masharti...Who are you? No body is above the government bwana!
Huyo askofu siyo raia wa TZ! Hana uchungu na AMANI ya nchi yetu.
To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.
Vyombo...
Huyo Padre Silvio Mnyifuna ni KILAZA/MJINGA sana darasani. Nilisoma naye. Canon law binds only catholics. Ni sheria za wakatoliki kwaajili ya mambo yao. Ukatoliki SIYO dini ya dola. Ndani ya Tanzania kuna dini nyingi sana kwa sababu ya UHURU WA KUABUDI haki ambayo ipo kwenye ibara ya 19 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.