Recent content by Molina

  1. M

    Msaada wa ushauri, au mwenye ushuhuda kuhusu huyu NABII WA MUNGU wa kanisa la Mwenge mpakani (James Nyakia)

    Mbona tunao ujasiri wa kwenda mbele za Mungu nakueleza haja zetu na yeye akatujibu. Kiongozi wa dini akikwambia ivi hapo ujue si mahali salama
  2. M

    Mjamzito wa miezi 9 anaweza kusafiri?

    Mimi nilisafiri kwa bus Shabiby kutoka Dar adi Dodoma, Nilikua na week 37. Ila baada ya kufika Dodoma na kwenda hospital, pressure ukawa juu na nikaanzishiwa uchungu. Nikajifungua kabla ya makadilio na nikaambulia kisu kuokoa maisha yetu. Kwa uzoefu huu,sikushauri pia
  3. M

    Am looking a woman for serious relationship

    PM yako imefungwa Ebeneza.
  4. M

    Nahitaji mwenza

    Poleni na Shughuli za siku wana JF, Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi. Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea. Awe anajishughulisha na shughuli halali. Mwenye hofu ya Mungu. Asiwe mtumiaji wa...
Back
Top Bottom