Mimi nilisafiri kwa bus Shabiby kutoka Dar adi Dodoma,
Nilikua na week 37.
Ila baada ya kufika Dodoma na kwenda hospital, pressure ukawa juu na nikaanzishiwa uchungu.
Nikajifungua kabla ya makadilio na nikaambulia kisu kuokoa maisha yetu.
Kwa uzoefu huu,sikushauri pia
Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
Awe anajishughulisha na shughuli halali.
Mwenye hofu ya Mungu.
Asiwe mtumiaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.