Hivi nitoke na para langu huku au nitamaliza nikifika huko?
Vipi kuhusu nguo za kuvaa kipindi cha kureport, ni hizi za kawaida ama hizi track suit tutakazonunua?
Salute kwenu wakuu. Nimepitia huu uzi mwanzo mwisho na nimejifunza mambo mengi sana. Kwa kipekee napenda niwape mauwa yenu wafuatao:
Mercenary2013
IDDY S MHANDO
lugonopanja98
OCCID Dominik
Na wengine wote waliotoa michango yao mema. Kwa wasomaji wapya muwe makini tu maana humu ndani kuna...
Kabisaa, katika haya maisha tunayapitia mengi sana lakini kuna wengine wanayapitia mambo magumu ya ajabu lakini wamekaza na wametoboa, aisee usikate tamaa kabisaa, nyanyuka jiambie unaweza kuyashinda hayo unayoyapitia, manzee wewe ni mshindi
Daah, uko na shauku kama yangu. Mara nyingi sana huwa naumia nikiona watu wengine wakiteseka, uwezo wangu sio mkubwa sana lakini kidogo nilichonacho huwa tunashare. Nawasaidia lakini bado naona moyo wangu haujaridhika, natamani kuwasaidia kwa ukubwa zaidi. Ipo siku nitafanya kwa ukubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.