Recent content by Moitalel

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Kitu ambacho ccm wanakosea sana ni timing. Nina wasiwasi kwamba watanzania wengi wameshafanya maamizi -kuwarudisha nyuma inahitaji mkakati wa ziada sio propaganda alizotoa Dr Slaa. Kosa kubwa alilofanya Dr Slaa ni kujipambanua kama mamluki wa ccm. Hii inawauza zaidi upinzani zaidi ya kuwasaidia...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Vijana kwenye Maandamano ya kumsindikiza Lowassa walipora mali

    Hii ni kwa sababu- nchi ni yenu wenyewe ccm ndo maana mnaonea uchungu!! Muda wa unafiki unapaswa kwisha. Sasa imebaki kujenga hoja.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Hahaha. Huyu alieandika thread anajidanganya sana. Aendelee kufanya hivyo.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Tofauti kati ya Magufuli na Lowassa wakati wa Uchukuaji wa Fomu za Urais

    Mpuuzi huyu. Hao ndiyo watakao watoa ccm madarakani tena kwa hasira ya wewe kuwatukana. Mjipange upya kwa hoja na sio matusi.Lala manake ukiamka utamkuta Lowasa ikulu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Ukiona watu wanatumia jazba badala ya kujenga hoja ujue wameshashindwa. Naona wapenzi wa ccm tunatumia jazba kana kwamba tumeshashindwa. Tukubali tusikubali hii ni dakili njema kwa UKAWA.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Ukiona watu wanatumia jazba badala ya kuanfika hija ujue wameshashindwa. Naona wapenzi wa ccm tunatumia jazba kana kwamba tumeshashindwa. Tukubali tusikubali hii ni dakili njema kwa UKAWA.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ukiwa kama Intellectual, matukio haya makubwa matatu yanaashiria nini kwako?

    Inaonyesha Lowasa ana haiba ya kukubalika sana. Na kwamba ni hazina pekee ya ccm kwa sasa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa

    Hivi unapotunga story kama hizi unakuwa unalipwa eh. Nadhani watu wawe fair-this us too much!!!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa aungana na Gwajima kumtukana Kardinali Pengo

    Huu ni upotoshaji wa wazi wa ukweli. Ila ni kweli usio na shaka kwamba anaedhani kwamba masikini ndiyo anayefaa kuongoza nchi ni mjinga na amepitwa na wakati.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Watu wa usalama wa taifa fuatilieni huu uhuni unaofanywa na vijana wa Lowassa

    Ukichagua masikini si ndo mbaya sana mkuu. Tajiri haitaji kuiba tena ila kuwatumikia wananchi. Lowasa nadhani anafaa ukilinganisha wote wanaohitaji ccm. Na ccm wakikosea tu kumuweka mwingine UKAWA wamelamba dume. Kwa hiyo mjiandae kisaikolojia ama Lowasa au UKAWA kuongoza nchi.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuna uzushi ya kwamba watu wenye damu group O, wanapata shida kupata Mtoto

    Na kama una A+ na wife A+ inakuwaje?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Next Week: Prof Kikwete, kuvunja baraza la mawziri

    Akibomoa sawa! Akivunja sasa si kawaida tu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM tunatia aibu

    Ngoja niwauli watu wa kigamboni? Wakinijibu nitarudi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Nkenge Assumpter Mushama, fedha zetu ziko wapi?

    Sijui ni lini Mungu atatukomboa kwenye lindi la ujinga na upumbavu. Hivi unapomchagua Ghasia kuwa mbunge alafu waziri kwa zaidi ya kipindi kimoja- utafiti unaitajika kujua kama watu wanaoanya hay maamuzi ni wazima wa akili au kuna nguvu ya ziada inatumika.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa Kujaza nafasi za Mawaziri walio wajibishwa?

    Sendeka atafaa sana Arthi. Ila likitokea la kutokea apotee asiingie bungeni manake watamchanachana
Back
Top Bottom