Recent content by Mohmusy

  1. M

    DOKEZO Responded Kituo cha Afya Zamzam (Bukoba) kuna huduma mbovu, Watumishi wanatengeneza mazingira ya Rushwa

    Inasikitisha Sana na sio hapo tu zipo hospital nyingi tu za serikali zenye huduma mbovu hata hapa dar na shida ni kwamba wenye mamlaka hawafuatilii
  2. M

    DOKEZO Responded Kampuni ya kuzoa taka nyumbani Mbezi ya Chini inatuumiza Wananchi, inaongeza bei kutoka Tsh 3,000 hadi 15,000

    Ni hatari halafu sasa unakuta taka taka zinachukuliwa kwa mwezi mara 1 au ikizidi 3
  3. M

    Mbunge: Kwanini mwananchi akileta TV Bara kutoka Zanzibar analipia kodi wakati nchi ni moja?

    Daaah hii ni kero kubwa Sana tena ukifika pale bandarini Huna pesa ya kulipia kifaa kinazuiwa
Back
Top Bottom