Recent content by Mohammed fadhil

  1. Mohammed fadhil

    Ni mtazamo tu

    Ila kama mtu una uhakina na unajiamin ulichokifanya unaweza kwenda baraza la mtihan na kuomba usahishiwe tena upya ndipo utaona kuwa matokeo haya huwa yanapangwa na kwa shule zetu hz za kata ndo usiseme zinakuwa za mwisho kabisa walimu wachache hususan walimu wa sayans nakumbuka nilifanya mtihan...
  2. Mohammed fadhil

    Ni mtazamo tu

    Tunajua kuwa matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2012 ni mabovu mno na serikali imeamua kuchukua uamuzi wanafunz wote walio fail warudie mtihan, Program hii itakuwa inaendelea kila mwaka au ndio mwaka huu tu ? na katika suala zima la usahishaji mi nafikiri serikal kama serikal inapanga matokeo...
  3. Mohammed fadhil

    Naomba kufahamu kuhusu database

    Definition ya database, entity,atributes, relation, relation ship
  4. Mohammed fadhil

    Adhabu ya kunyimana.

    Always ushindani unaathiri upande mmoja inshort mwanamke hauwezi kushindana nae also kama ndo umependa ndo na amejua kama umempenda utaumia wewe ? Najua kila mmoja ataweka kichwa ngumu ndio mwanzo wa kutafuta kidumu then mtandao wa ngono unareact
  5. Mohammed fadhil

    Adhabu ya kunyimana.

    Ukiwa unanyimwa basi ujue kuna namna unaforce au hauna nyama ya ulimi mfanye mwenzio awe na hamu ya kukuona any time
  6. Mohammed fadhil

    Taarifa Muhimu - Tafadhali Soma Hapa

    Ahsante ndugu mweneji nimekusoma
  7. Mohammed fadhil

    Naomba kufahamu kuhusu database

    Napenda kutanguliza shukrani kwa wote. Waungwana kama kuna mtu mwenye uelewa wa databese naomba anisaidie
  8. Mohammed fadhil

    Unarudi home usiku mwingi, unamkuta mwenzako katika hali hii..!

    Siku zote mwanamke ni mtu wa kudanganywa but angalia cha kudanganya kifanane na ukweli vilevile mwanaume unabidi uwe na nyama ya ulimi by doing so utamaliza utata
Back
Top Bottom