Wajifunze hata katika historia sayid balghashi hakurajia wanyoge wa unguja wangejikwamua vile, watu tumechoshwa na uzabi-zabina wa ccm hata wakimbizanapo waliokasirishana ,ukimsikia yule wa nyuma anarembea matusi kwa wa mbele yake fahamu wazi mbio zimemshinda.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.