Rais JPM niite nikuambie nini niisaidie serikali hii ili tuweze peleka watanzania kanaani maana hapa kazi kwani na we mbiu uliitabiri ni ya kweli ya hapa kazi tu.
imenikumbusha Tanzania viongozi watu wanaachaga wenye vigezo wanawekwa wasio naikumbuka sana mwaka 1997nikomba kwenda jkt nikiwa kijana mwenye vigezo vyooote husika nikaachwa wakapelekwa majirani zangu kisa mkuu wa majeshi kaoa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.