Kuhusu swala la kuchanganyikiwa, watachanganyikiwa sana ... kwasababu wakiwa katika age ya 20....hua wanalinga sana wakiamini uzuri wa sura na umbo vitadumu ila baada ya kuchezewa sana ndyo wanaanza kutafuta MR NICE GUY wa ku settle nae ili wajenge familia
conclusion: kama wanavyolinga katika...
Hivi inakuaje kijana wa miaka 18 unaenda kukaa na kulala kabisa kwa mtu usiemjua kisa tu umegombana na mzazi nyumbani ?
waanze kuulizwa kwanza hao vijana wanashida gan mpka wajiachie kabisa kwenda kulala ndan kwa wanaume wenzao ilhal hawajuani
#hata hao vijana wanashida km wangekua watoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.