Mrangi,
Mimi ujuzi wangu uko katika political history ya Tanganyika.
Nimetafiti na kuandika historia ya uhuru wa Tanganyika.
Nina vitabu na academic papers nilizowasilisha vyuo vikuu ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Haya mengine siyafahamu.
Kichuguu,
Mimi huwa sifanyi ubishi kwani ubishi hauna tija yoyote.
Mimi hupenda kusomesha yale ambayo si wengi wanayajua.
Ikiwa wewe unaona African Association haina uhusiano na TAA na TAA haina uhusiano na TANU sitakubishia.
Sikubishii kwa kuwa hadhira yangu ni kubwa na ina wasomaji na...
King...
Baada ya mimi kuandika kitabu cha historia ya maisha ya Abdul Sykes Oxford University Press, Nairobi wakanitia katika mradi wa kuandika historia kwa ajili ya shule za msingi.
Mradi huu ni wa kusomesha lugha ya Kiingereza na Historia kwa wakati mmoja kupitia vitabu vitakavyoandikwa...
Mpaji...
Huijui historia ya TANU.
Nyerere hakuwa na wazee kama mwenyewe alivyoeleza.
Soma hapo chini uwaone vijana wenzake aliowakuta katika harakati:
KAULIZA MUULIZAJI: ‘’KWA NINI MAJINA YA WAASISI WA TANU 1954 YAPO KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA LAKINI WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION...
KAULIZA MUULIZAJI: ‘’KWA NINI MAJINA YA WAASISI WA TANU 1954 YAPO KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA LAKINI WAASISI WA AFRICAN ASSOCIATION 1929 HAYAONEKANI POPOTE?’’
Kijana alichonitafutia ni historia ya Muungano wa Tanzania mwaka wa 1964.
Akanifahamisha kuwa amesoma kitabu cha historia ya...
Ndugu zangu,
UKWELI WA HISTORIA YA UJENZI WA MSIKITI WA MFALME HASSAN WA MOROCCO
Sheikh Hamid Jongo katika video hiyo hapo juu anaeleza kuwa Msikiti wa Mfalme Hassan wa Morocco ujenzi wake haukuombwa na Rais Magufuli.
Sheikh Jongo anawaeleza Watanzania kuwa msikiti huu uliombwa na Rais...
Mzee Mshume Kiyate akimvisha Mwalimu Nyerere kitambi kumfariji baada ya maasi ya 1964
Aliyemshika Nyerere mkono kulia ni Mshume Kiyate, Max Mbwana na Mwinjuma Mwinyikambi Uchaguzi wa Rais 1962.
https://youtu.be/SiZ7ibE5mPc
Hixo clip zake zote 26 za Mzee Amani Thani 👇
Marhem Bw. Amani Thani akihojiwa na Prof Ibrahim Noor katika mwaka 2000
Part 1 Mwaka wa Mwanzo Jela
https://youtu.be/3GZE7Olxf5M
Part 2 Kufungwa Miaka Kumi
https://youtu.be/ZogqTP-DU0w
Part 3 Jela ya Langoni
https://youtu.be/X8o0o9KRHPs
Part...
Kibol,
Unapitwa na mengi sana.
Leo nimemzungumza Mshume Kiyate katika Maadhimisho ya Ukombozi wa Nchi za Kusini Mwa Afrika:
https://youtu.be/AbmS6duP4T4
Nguruvi3,
''...tuna mnasihi Mohamed kutosema ''Historia yake ni ya kweli' kwani ni kujimilikisha na hilo si sawa. Watu waandike wasomaji wataamua.''
Mnaninasihi.
Sijui kwa nini unawajumuisha na watu wengine katika kauli yako hii.
Kwa ni isiwe wewe ndiye unanisihi?
Mimi ninaposema kuwa haya...
KUMBUKUMBU YA RAMADHANI 8 : MFUNGO MOMBASA NA SHARIFF SALIM ABDALLAH (SAL DAVIS) NA SHARIFF MUHDHAR KHITAMI 2009
Ndugu zangu hawa masharifu wawili wote wanatoka katika koo kubwa na maarufu mjini Mombasa.
Baba yake Shariff Salim Abdallah maarufu kwa jina la Sal Davis alikuwa memba wa LEGCO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.