Recent content by Mohamed Said

  1. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania ''Usimuone vile Kambarage ana Kibega'' Dossa Aziz

    Smart... Ahsante.
  2. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa EAMWS na Kuundwa BAKWATA 1968

    https://youtu.be/jrKB04KZZgk?si=WOSyzNai_st_yDcB
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kinachohofiwa Kutokea

    Je, dunia inaambiwa ukweli wote kuhusu mzozo wa Iran, Marekani na Israel? Katika uchambuzi huu mzito kutoka Kutoka Maktaba ya Mohamed Said, tunaingia ndani ya siasa za Mashariki ya Kati na kuangalia maswali ambayo mara nyingi hayapewi nafasi ya kutosha katika mjadala wa kimataifa. Profesa...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Jina la Dossa Aziz Halikuwemo Katika Orodha ya Watunuliwa Medali

    Mwafrika... Kweli huzungumza sana kuhusu historia ya BAKWATA. Hili nimekuwa kimya kwa ajili ya jambo lenyewe lilivyokuwa jinsi lilivyozungumzwa na watu wengi. Niliona itakuwa bora kwangu kuwa kimya.
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Tanzania Nchi Iliyosahau Mashujaa Wake: Kumbukumbu ya TANU na Uhuru wa Tanganyika

    https://youtu.be/ZgzpXeu9eRY?si=HgH6XfcePFIMrxuI
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Jina la Dossa Aziz Halikuwemo Katika Orodha ya Watunuliwa Medali

    https://youtu.be/8bHn7ojbnlo?si=p3RGwTUvj34OmroN
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania ''Usimuone vile Kambarage ana Kibega'' Dossa Aziz

    https://youtu.be/0o1VQDG16GU?si=GF3E_TJjEbpxIQ34
  8. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Waziri Dossa Aziz Jina la Utani Walilompa ni ''Benki"

    Nukuu za Dossa Aziz na Harakati za Uhitaji Dossa Aziz anatajwa kama mtu aliyekuwa na utajiri mkubwa ambao aliutumia kufadhili chama cha TANU na viongozi wake: Dossa kama "Benki": Wakati wa harakati, bili zote za chakula na vinywaji za kamati ya ndani ya TANU katika hoteli ya Princess zilikuwa...
  9. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Filamu ya Maisha ya Julius Nyerere Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Axiom... Bado ni fikra na si kama itachezwa Hollywood ila nilipoelezwa jambo hili niliuliza kama ni movie kama za Hollywood? Unaonaje fikra hii?
  10. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Filamu ya Maisha ya Julius Nyerere Wakati wa Kupigania Uhuru wa Tanganyika

    Mchapishaji huyo, baada ya kuuona mswada (manuscript) wa kitabu cha historia ya harakati za uhuru ambacho Mohamed Said alikuwa amekiandika, alimwambia: "...unajua kama wewe umekalia neno la tumia alisema gold m yaani umekalia mgodi wa dhahabu". Maelezo ya ziada kuhusu nukuu hii ni kama...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kipindi Maalum IBN TV

    Kanyegelo, Sema "sina," usiwasemee wengine kwa kuwajumuisha na wewe. Katika You Tube Channel yangu watu wengi wanatazama.
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Vita Vya Iran na Marekani: Kipindi Maalum IBN TV

    Mzee Mohamed Said anaielezea Marekani kama taifa lililopoteza nguvu zake na kushindwa vibaya katika mzozo wa sasa: "Irani imedhibitishia dunia kuwa hawa Marekani ni chui wa karatasi". "Marekani ameishiwa nguvu huwa ameishiwa silaha kipigo alichopata katika zile vituo vyake vemweka katika hali...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maktaba Yaalikwa IBN TV

    Kuhusu Maisha na Historia ya Malcolm X Mohamed Said anaeleza namna historia ya Malcolm X ilivyokuwa na ushawishi mkubwa kwa vijana wa miaka ya 1960: Mabadiliko ya Maisha: Alieleza kuwa vijana walivutiwa na mabadiliko yake kutoka kwenye uhalifu kwenda kwenye dini: "...historia yake kuwa huyu...
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Barua Pepe Kutoka CIA (Central Intelligence Agency) Kwenda Kwa Mohamed Said

    Gagnija, Siwezi kukumbuka kwa majina.
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Taazia: Buriani Mwajame bint Dossa Aziz

    Gagnija, Naam. Ndiye.
Back
Top Bottom