Real Comrade...
John Iliffe alimwambia mwanafunzi wake Aisha "Daisy" Sykes, enzi za University of East Africa.
Ilikuwa mwaka wa 1968 John Iliffe anafanya utafiti kuandika historia ya Tanganyika.
"Daisy kila ninapopita nakuta jina la babu yako Kleist Sykes hebu andika Seminar Paper kuhusu huyu...
PROF. ISSA SHIVJI KATIKA KITABU CHA ABDULWAHID SYKES
John Kabudi has referred to the Association as a ‘private civil organisation of a nationalistic character’.[1] It is worth noting that even the pioneers of the organisation are not referred to as politicians. Kaniki, for lack of an...
Prof. Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ngwaza Kamata walipokuja kunihoji wakati wa utafiti wao wa kitabu CHA Mwalimu Nyerere.
Prof. Shivji aliniuliza kwa nini nakala chini?
Nikamwambia kuwa adabu ya elimu nyie kama walimu wangu mlionisomesha ilitakiwa mniite nije kwenu mnihoji lakini mmeamua...
Tai...
Unadhani naandika kujijenga?
Hapana hili kwangu halijapata kuwa jambo lenye ukubwa.
Nimeona historia imeandikwa ina makosa nikaamua kusahihisha.
Kuwa hili jambo likaja kuwa kubwa ni utashi wake Allah.
Sikufanya hili kutafuta umaarufu.
Kwa maelezo ya kina ya mgogoro wa ardhi ya Wameru angalia Kirilo Japhet na Earle Seaton, The Meru Land Case, Nairobi, 1966.
Angalia Iliffe, A Modern History... op.cit. uk. 502 akinukuu barua kutoka kwa Abdul Sykes kwenda kwa Sablak 8 Desemba, 1952, vilevile ya Japhet kwa Abdul Sykes 26 Septemba...
Mipango yote ya safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO ilikuwa ikifanyika nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu:
https://youtu.be/__v1J9dsEEQ?si=lml05dxDknWs--MU
Monster,
Mimi nisikitishe?
Nakuona unaniandikia Kiingereza.
Kwangu mimi kwa kitendo hicho umenifungulia mengi kuhusu tabia yako.
Nakutahadharisha.
Mimi nina Merit Pass katika English Oral Cambridge University Examination 1970.
Merit Pass maana yake ni First Class.
Monster,
Sijalalamika.
Nilipoona historia ya uhuru wa Tanganyika imeandikwa sivyo nilinyanyua kalamu nikaandika kama inavyostahili kuandika.
Wanaolalamika ni nyie kwa nini nimeandika historia na kutaja mchango wa Waislamu.
Kuhusu vyanzo itakubidi usome kitabu.
Dr. Kyaruzi hana huo umuhimu...
Nguruvi,
Sina tatizo na fikra yako.
Ila muhimu ni kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika iliandikwa na iliwaacha wazee
wangu nje.
Mimi nimeufungua mlango na nimewarejesha ndani ya historia.
Kitabu kinakwenda toleo la tano.
Kitabu kimependwa.
Ndani ya kitabu changu hakuna chuki hata moja ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.