Peramiho...
Hii Maktaba si maktaba ya mtu kusoma.
Hii ni Maktaba ambayo nimehifadhi picha, nyaraka na vitabu kwa ajili ya rejea.
Unaweza kuja lakini kwa mazungumzo khasa kwa yale ambayo ungependa kuyajua kutoka kwangu kuhusu utata uliokuwapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika na juhudi...
MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA MWANDISHI M.A. MOHAMED: "USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA''
Jioni hii baada ya swalat ya Maghrib wakati naelekea kwenye ngazi za msikiti kuvaa viatu kanikabili mtu akanipa kitabu hicho nilichokitaja hapo juu.
"Hebu kakiangalie kitabu hiki."
Nikakipokea kwa furaha na...
Stuxnet,
Nani kaniambia kuhusu kumfuta Bibi Titi kwenye historia?
Hakuniambia mtu ila nimejua mimi mwenyewe.
Soma makala hiyo hapo chini:
Gazeti An-Nuur's Post
Bint Abdurahman wa Tabora Muhamasishaji wa TANU
Hajatajwa popote katika historia ya Tanganyika
Ila katika kitabu cha Maisha ya...
IKUMBUKWE TV WAFIKA MAKTABA KUFANYA KIPINDI CHA BIBI TITI MOHAMED MAALUM KWA VIJANA
Leo nimetembelewa na Abdallah Khamisi wa Ikumbukwe TV kwa ajili ya kufanya kipindi cha Bibi Titi Mohamed maalum kwa macho na masikio ya vijana ambao kwa hakika wote hawakupata kumuona, kumsikia wala kusomeshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.