katika hali ya kutoeleweka hapa mkoa wa Geita cuf imeweka mapingamizi ya kwa wagombea wa Chadema mtaa wa lwenge na Mission katika serikali za mitaa.
My take.
Hivi Ukawa imekufa!!
Sambaza ujumbe huu kwa watanzania vijana wengi zaidi. Kwamba sio kwamba tunawabagua wazee wetu hapana ila tunawashukuru sana kwa utumishi wao uliotukuka kwetu. Kwa unyenyekevu na mapenzi ya dhati kabisa tunaomba sasa tuwapokee kijiti nao wale matunda yetu sisi watoto wa damu zao.
Ni aibu...
ujumbe huu kwa watanzania vijana wengi zaidi. Kwamba sio kwamba tunawabagua wazee wetu hapana ila tunawashukuru sana kwa utumishi wao uliotukuka kwetu. Kwa unyenyekevu na mapenzi ya dhati kabisa tunaomba sasa tuwapokee kijiti nao wale matunda yetu sisi watoto wa damu zao.
Ni aibu kuendelea...
Jana hii Mwigulu akichangia Bungeni.
Mwigulu Nchemba: Ukububwa wa jambo
tunaongelea maadili na maslahi ya watanzania,
nitajikita eneo linalogusa wizara ya fedha.
Nazipongeza taasisi zote zilizoshiriki kwenye
ripoti hii(anazitaja). Tangu utaratibu huu uanze,
chimbuko la ripoti hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.