Kifungu nambari 3,4,5,6,7 katika hoja zako ni za kipumbavu tu.Serikali haiwezi kumpa mwekezaji then isipate kitu.hayo alifanya Mkatoliki Mkapa na Kanisa katoliki lilikaa kimya.Nyaraka za Kanisa vipindi Waislamu wanakua madarakani tumechoka.
Kama kuna watu waliteswa na kuumizwa lazima tume ya uchunguzi iundwa.Kumjadili Zitto badala ya hoja yake ni upungufu wa akili au upeo mdogo wa kufikiri.Zitto yupo sawa kwenye hili.
Malalamiko ni mengi tume iundwe kweli rejeeni mkutano wa TCD.Wachangiaji wengi walikosoa mwenendo wa uchaguzi kwa...
Tuliichukia Marekani kwaajili ya kuvamia nchi za wanyonge .Na kubadilisha serikali za nchi hizo bila ridhaa yao.na kuweka vibaraka.
Leo matendo mambo yaleyale tuliyomlaumu Marekani anafanya urusi kwa nchi ndogo na masikini kama Ukrein.Na sisi tunashangilia.
Chadema ndivyo walivyo.Wakifanya wao lipo sawa .Jambo hilohilo wakifanya ACT utasikia ccm B.Ah yaani wanajidhalilisha sana.
Mimi sasa naacha kabisa kuwazingatia.Maana hawaeleweki wanasimamia nini.Zitto kaza mwendo watz wameanza kukuamini na wamejua madalali wa siasa ni kina nani.
Zitto kiongozi wa ACT na hii ndio mipango yao.
Cdm nayo ije na mipango yake'na sio kukosoa mpango wa chama kingine kisha wewe huleti mpango wako hiyo ni chuki dhidi ya Zitto.ni upoyoyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.