Recent content by mohamed hassani

  1. mohamed hassani

    Mashine za kuchanganyia ubuyu zipo?

    Naulizia mashine ya kuchanganyia au kupikia ubuyu zinapatikana kweli?
  2. mohamed hassani

    Mashine ya juisi ya miwa inauzwa

    Mi naitaji mashine 2
  3. mohamed hassani

    Nahitaji mashine ya miwa

    Naitaji machine ya juice ya miwa used
  4. mohamed hassani

    DAR: Almasi yenye thamani ya Sh. Bilioni 32 yanaswa airport ikisafirishwa kwenda Ubelgiji

    watu hawana uzalendo na taifa letu maliasili zetu zinzpotea mikononi mwetu bila kujali huduma bora zinatokana na raslimali zetu ubinafs umezid.MUNGU IBARIKI TANZANIA NA RAISI WETU,usirud nyuma pambana wanakuangusha wachache 2, .
  5. mohamed hassani

    Je foundation course imefutwa OUT?

    Dah!! Chanzo cha ukweli wapi? Maan nmeingia www.out.ac.tz cjaona
  6. mohamed hassani

    Je foundation course imefutwa OUT?

    Habari wakuu, Jamanii hizi taarifa za kufutwa kwa foundation course open ni kweli? Naomba kujulishwa
  7. mohamed hassani

    Wale wasubiriao matokeo mafunzo ya elimu pitia hapa

    Tatizo la serkali yetu wanadai wantal kufuta gred A ualimu na ndio maan wanachkua pass l,ll,lll wakidato cha sita weng waliomb wamepta scienc + eduction uliekidato ch 4,kam ulitgemea umekosa labd gred A matokeo ypo hewa mpk mwakn.
  8. mohamed hassani

    Wale wasubiriao matokeo mafunzo ya elimu pitia hapa

    Pitia www.nacte.go.tz uchek jin lako waliochagliwa masomo ya sayansi ni 480
  9. mohamed hassani

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi mwalimu wa primary kibaha naitaji wa kubadilisha na mwalimu kutoka dar es salaam wilaya yoyote nicheck inbox nina miaka 4 kazin wahi nafsi Adam hii piga 0783815828
Back
Top Bottom