Recent content by Moha 255

  1. Moha 255

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Yani ni huzuni chief, adhabu ya watu wanaofanya ushirikina ni mbaya mno mungu ametoa angalizo kwa watu hao mala nyingimno kwenye maandiko matakatifu na kilichonifanya ni umie zaidi nikwamba waliofanya hayo ni watu wanaofahamu zaidi izo habari kuliko.
  2. Moha 255

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    hayo ni mambo ya kichawi sio katika Dini Hakuna pahala katika uislam panaelekeza kusoma dua za namna hiyo Hakuna ni ushirikina na wanaviumbe wao ambao wanawategemea kufanya izo ibada zao ni washirikina na end of the day adhabu yao ni chungu mno😭
  3. Moha 255

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Chuki kila pahala chief, wala usijichoshe.
  4. Moha 255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake mkoje?

    Mhelp 😂mzee baba.
  5. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Natafuta tajiri wa kufanyanae kazi ya bolt/uber, asiwe mbabaifu kwasababu mimi sio mbabaifu

    Eti, kiukweli nimehuzunika sana…Na kilichoniuma zaidi ni kwamba mimi Hatujuani na nilienda mbali zaidi je? Watu wake wa nyumbani wanahaligani especially (familia yake) 😂
  6. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Natafuta tajiri wa kufanyanae kazi ya bolt/uber, asiwe mbabaifu kwasababu mimi sio mbabaifu

    Mkuu nasisitiza Tena Kama wewe sio fogo ( tajiri) au ni fogo (tajiri) Sawa lakini hauko tayari kufanya hii biashara kutokana na majambo yaliyokukuta (pole) plz usihalibu kazi za watu tafadhali mimi ni kijana najitafuta Kama una mapito yako yanayo husiana na hii biashara (nikitukizuri pia...
  7. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Natafuta tajiri wa kufanyanae kazi ya bolt/uber, asiwe mbabaifu kwasababu mimi sio mbabaifu

    Habari wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.. mimi kijana wenu mitiifu Mohammed nipo dar-es-salaam natafuta gari ya kufanyia biashara ya bolt/uber, kwa upande wangu nimekamilika Niko na kila kitu ambacho driver anatakiwa kuwa nacho ikiwemo platform zote za hii industry Hivyo basi Kama yupo...
  8. Moha 255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuambizane, tangu uyafahamu Mapenzi yamekusaidia nini?

    Cogratulation! Kwa wale wote waliofanikiwa kwenye mahusiono yao! upande wa kupata watoto wema wenye kumjua mungu na ukuaje mzuri kwa msaada wa mama wa hao watoto….mmeula. Lakini ninyi ndg zangu mnaochekelea Mafanikio ya dhahabu na fedha😂! Kwa kuwasifu na kuwatangaza Malikia wenu wa nguvu siku...
  9. Moha 255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuambizane, tangu uyafahamu Mapenzi yamekusaidia nini?

    Nice!
  10. Moha 255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuambizane, tangu uyafahamu Mapenzi yamekusaidia nini?

    Chief hilo sio swala la kufikiria mzee! Bob Lee sidhani kama kuna cha maana utakacho okota😂at the same time’s tusimkatie tamaa ngoja tuone😎
  11. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Maombi ya kazi ya tax, mtandao

    Ndio,mkuu.
  12. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Maombi ya kazi ya tax, mtandao

    Habari, Naitwa Mohamed ni driver wa tax mtandao….nipo darslam natafuta gari ya kufanyia kazi hii, hivyo kwa yeyote mwenye chombo basi ni fursa hii tuitumie kujenga hii nchi… “Kuhusu uaminifu ni % Hakuna uswahili wala ubabaishaji Hii ni kazi na Naheshimu kazi yangu hivyo tajiri ondoa shaka...
  13. Moha 255

    JamiiForums Tanzania Mimi ni dereva wa taxi mtandao, natafuta gari ya mkataba

    Ni mimi Mohamed wale wote walionitafuta last time, kuhusu kazi ya tax mtandao milango ipo wazi kwa malanyingine tena kama kuna ambaye ana gari yake kwaajili ya biashara….. basi asisite kunipigia my new number 0711347096 account yangu inashida kidogo that’s why nime reply.
Back
Top Bottom