Katika hali ya kawaida wengi tunategemea kupata taarifa (informations) za matukio yaliyotokea ndani ya nchi kwa wingi zaidi either social, economic au political lakini kwa hapa bongo ukisema ugoogle utakutana na taarifa chache tofauti na ukubwa wa tukio.
Kwa mfano ukijaribu kutafta historia ya...
Najaribu kuwaza hivi, ni kwamba wasanii Bongo ni wachache sana mpaka wasanii wa nje kupewa promo kubwa kuliko wasanii wa ndani!?
By the way, sina tatizo sana na wasanii wa kupewa promo hapa Bongo lakini swali ni je, na sisi huko kwenye nchi za watu tunapewa attention kama tunayowapa?
Au kwa...
Sehem ya kupata kwa jumla mkuu naomba kujua
Hii biashara ni nzuri sana kama eneo unapotaka kuweka kuna biashara pia ni biashara yenye faida ndogo sana lakn kama unaweza kuuza chupi kuanzia dozen tano na kuendelea unapiga ela mm nafanya biashara hii ni mwaka sasa lakn nilipo ni sehem ambyo haina...
Kama kuna mtu ana uzoefu na biashara ya uuzaji wa nguo za kike za ndani kama vile chupi, sidiria, tight etc naomba anifungue natamani kuijua hii biashara imekua ni biashara nlokua naiwaza siku nyingi lakini sina mwongozo
Tafadhali kwa mtu mzoefu naomba mwongozo
Habari wadau!
Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi?
Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni kuagiza nje naomba kuelekezwa pia procedures za kufata jinsi ya kuagiza ili atleast nipate kwa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.