Wewe umeona hawana documents mtu katoa risit inamaana hata invoice ipo hao TRA hawaelewi wanatakomalia rushwa
Au wewe ni mmoja wao unataka kutakatisha rushwa
TRA wamekuwa wezi wa hadharani kwa kisingizio cha kuhakiki risit za EFD wanatumia kigezo hiko kudai rushwa
Haswa transpota ndio wanaokamuliwa inajulikana mzigo unalipiwa advance kwa ajili ya kusafirisha ukifikisha mzigo ndio unalipwa balance iliyobaki
Mfano kutoka Dar kwenda Arusha tani 30...
Nilichomuelewa Pascal anaomba ajira ila style alivyoitumia ni ya kitoto sana kweli nimeamini ukizeeka akili zinarudi za kitoto
P gia uliyoingia nayo haikutoi unaonyesha jinsi ulivyo kata tamaa unatamani upate sehemu ujishikishe upate ugali siku ziende usubiri siku yako
Any way Mungu akupe...
Nyie ni mangosha, washamba, walugaluga ushamba wenu unawaponza unakuta jitu limesoma ila bado linabeba begi la nguo za kubadili kwenda kupiga picha na lile sanamu la samaki pale round about
Wasukuma mna DNA nyingi za ushamba
Wewe hujui baada ya miaka 3 kuna uchaguzi fedha za kampeni plus figisu zitatoka wapi Marope yuko pale kimkakati kama alivyokuwa kwenye timu ya msoga wakati wa uchaguzi ndivyo hivyo atakuwa kwa chief hangaya
By the way mgao tulishauzoea hili ndio chimbo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.