Mzee mwenzangu pole sana najua nafsini kwako jinsi ili lilivyotawala mbali na yote uliyopitia katika maisha na mchango wako katika taifa ili
Nikupe moyo liko jipya utaliona kabla ya haya ulioyokuwa ukiyasemea litajitimiliza
Keep up my brother punde patapambazuka
Neno lilimjia Mogul juu ya Taifa la Tanzania na kwa habari za Waziri Mkuu 2025-2030 andika.
Tazama yule aliyedharaulika then Bwana akamchagua na kumketisha katika meza ya wakuu sasa ni wakati wake ili litubitishwe neno la Bwana.
Paul Makonda litumikie kusudi la Bwana katika nafasi hii...
Huwezi kushindana na dola kwa kupayukapayuka siasa sio uwanaharakati CDM kilikuwq chama cha uharakati sana ila Lowasa aliwafunza thatwhy uliona matokeo yake
Serekali haswa hizi za kiafrika ukijidai una mdomo sana unapotezwa na hakuna chochote utakachofanya
Ok let's say Lisu amepewa kiti then...
Wewe umeona hawana documents mtu katoa risit inamaana hata invoice ipo hao TRA hawaelewi wanatakomalia rushwa
Au wewe ni mmoja wao unataka kutakatisha rushwa
TRA wamekuwa wezi wa hadharani kwa kisingizio cha kuhakiki risit za EFD wanatumia kigezo hiko kudai rushwa
Haswa transpota ndio wanaokamuliwa inajulikana mzigo unalipiwa advance kwa ajili ya kusafirisha ukifikisha mzigo ndio unalipwa balance iliyobaki
Mfano kutoka Dar kwenda Arusha tani 30...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.