Recent content by mogulnoise

  1. mogulnoise

    Wanaotangaza utabiri wa hali ya hewa (TMA) wawe wanatangaza ukweli

    Uko shule ulienda kujifunza kulamba kamasi hali ya bewa ndio nini? Na umri huo hujui kuandika kuchinjwa?
  2. mogulnoise

    TRA kukamata mizogo kwa ajili ya Efd machine ni kuonesha udumavu wa fikra zetu

    Wewe umeona hawana documents mtu katoa risit inamaana hata invoice ipo hao TRA hawaelewi wanatakomalia rushwa Au wewe ni mmoja wao unataka kutakatisha rushwa
  3. mogulnoise

    TRA kukamata mizogo kwa ajili ya Efd machine ni kuonesha udumavu wa fikra zetu

    TRA wamekuwa wezi wa hadharani kwa kisingizio cha kuhakiki risit za EFD wanatumia kigezo hiko kudai rushwa Haswa transpota ndio wanaokamuliwa inajulikana mzigo unalipiwa advance kwa ajili ya kusafirisha ukifikisha mzigo ndio unalipwa balance iliyobaki Mfano kutoka Dar kwenda Arusha tani 30...
  4. mogulnoise

    Just Imagine Umepokea SMS hii "Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha ...."- Ungemjibu nini?

    Nilichomuelewa Pascal anaomba ajira ila style alivyoitumia ni ya kitoto sana kweli nimeamini ukizeeka akili zinarudi za kitoto P gia uliyoingia nayo haikutoi unaonyesha jinsi ulivyo kata tamaa unatamani upate sehemu ujishikishe upate ugali siku ziende usubiri siku yako Any way Mungu akupe...
  5. mogulnoise

    MONGELA: Kauli ya Waziri Mkuu ilitoka kabla ya Vurugu kutokea Loliondo

    Nikikumbuka ile kauli " ni mzima yuko offisini anaendelea na kazi na mimi nimeongea naye leo" Nikejua nani muongo kati ya RC na PM
  6. mogulnoise

    Kanda ya Ziwa hawamtaki Zitto na ACT-Wazalendo, anapoteza muda

    Nyie ni mangosha, washamba, walugaluga ushamba wenu unawaponza unakuta jitu limesoma ila bado linabeba begi la nguo za kubadili kwenda kupiga picha na lile sanamu la samaki pale round about
  7. mogulnoise

    Hivi ni kweli suala la Katiba Mpya ni suala la Rais kulikubali au kulikataa?

    Leo umeongea ngosha sio kutupia lawama upinzani wananchi ndio mafala
  8. mogulnoise

    Mgao ujao wa umeme…

    Wasukuma mna DNA nyingi za ushamba Wewe hujui baada ya miaka 3 kuna uchaguzi fedha za kampeni plus figisu zitatoka wapi Marope yuko pale kimkakati kama alivyokuwa kwenye timu ya msoga wakati wa uchaguzi ndivyo hivyo atakuwa kwa chief hangaya By the way mgao tulishauzoea hili ndio chimbo la...
  9. mogulnoise

    Rais Samia: Nimeshindwa kufanya PhD kutokana na majukumu kuwa mengi

    Ila jiwe alipata ya halali then saa nane akapotea
  10. mogulnoise

    Je, ACT Wazalendo kinaweza kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania?

    Act sio chama cha upinzani hata ZZK analijua hilo ungeandika je Act ndio mbadala wa uvccm
Back
Top Bottom