Recent content by moga jr

  1. M

    Resistant H.pylori

    Tafuta hizi dawa Ofloxacin+Ornidazole andika hivyo hivyo ukienda duka la dawa ni combination drugs, watapotea hao wanatesa sana.Kama sugu vidonge 30, 1X2.Nilipona na hiyo dawa.
  2. M

    Huu ugonjwa wa Gastritis sasa unanitesa mno

    Pole sana,nilitaka kupitiliza ila nafsi imeniambia hapana fanya kitu maana ulipo nilikua hivyo,maumivu unayopata nayajua,huu ndio msaada wangu kwako na naomba uamini maana najua utakua umeshakunywa dawa nyingi,mpigie huyo 0684 84 08 29 anauza dawa ya vidonda bei nafuu sana,unaweza kununua hata...
  3. M

    Nasumbuliwa na tatizo la tumbo kuwaka moto

    Mtafute huyu 0684 84 08 29 atakuuzia dawa na utapona ili mradi kama kweli unauhakika ni vidonda vya tumbo.Dawa yake itumie kwenye uji.Na ikiisha ongeza tena mpaka hiyo hali iishe.Utapona tu.
  4. M

    Hospitali gani inafanya kipimo cha OGD?

    Bei gan ulipima na ilikua mwaka gani?
  5. M

    Hospitali gani inafanya kipimo cha OGD?

    Helo,habari? Hospitali gani naweza kupima kipimo cha O.G.D kwa ajili ya tumbo kwa bei nafuu?
  6. M

    German shepherd

    Wapi wanapatikana mbwa wadogo aina ya german shepherd?
  7. M

    eBay na Amazon

    Lipi soko zuri kununua bidhaa kati ya ebay na amazon?kwanini?
  8. M

    Naomba msaada wa kuflash modem ya huawei e303

    plz msaada jinsi ya kuchakachua modem huawei 303
  9. M

    Postal/zip code ya Tanzania ni ipi?

    msaada postal code ya tanziania?nataka kujaza kwenye pay pal
Back
Top Bottom