Nilikuwa,namuamini Bw. Msigwa ila nimemuona hamnazo kabisa. Nadhani ndo maana yule jamaa aliwahi kusema hili jahazi linakwenda ila linaonekana kama halina dereva hv! Watu wanajifanyia kila wanachokitaka tuu na namba moja yupo kimya tuu.
Upo sah
Hongera sana Mwananchi
Hongera sawa mwananchi. Upo sahihi sana mtu wa mpira wewe. Kwa upande was ushambuliaji, ni kweli Dube bado tunamdai lakini mm namhitaji msimu ujao tena nikiamini bado ana kitu. Tetesi ni kwamba Eng. Hersi keshamalizana na Sowah, mtu ambaye hadi sasa ameweza kuwa...
Hakika tumeingia hasarani na inavyoonekana tutaendelea kupoteza kwa miaka mi5 ijayo. Nina hofu sana kama kuna kitakachobaki, miaka mitano ni mingi sana kwahali ilivyo, naona kama hakuna rasilimali itakayobaki. Only ways tumuachie Mungu.
wnawake wa kichina wako.poa sana jamaa atakuwa salama salmini. usifanye hivyo kwa mbogo ulieoa Nzungu wala mwanamke yeyote wa kiafrika, itakuletea shida, hao watu hawaaminiki kabisa.
Ubaguzi na ubinafsi wa wachanga ndo umetufikisha hapa. we angalia Kimei amekaa CRDB Bank, ss hv bank imejaa wachaga kila kona unadhani ni bank ya familia, na wengine uwezo wao ni mdogo sana ila walijazwa tuu hapo. tatizo kubwa la wachaga ni wabinafsi kupitiliza, mm mwenyewe ni wa humohumo ila...
Pole mkuu. Hiyo ajali kama naikumbuka hv, ilitaka kumtoa mke wangu roho hiyo siku, nakumbuka vifo kadhaa vilitokea ma majeruhi wengi sana maana liligonga gari kadhaa za abiria, hadi leo wife ana kovu la ajali ile. Hakika ktk barabara za mjini hapa zinazogawa mateso kwa wana nchi hii inaongoza...
Unazungumzia foleni ya masaa matatu? Utakuwa una bahati sana, sisi tumezoea likiharibika lorry moja tuu linaloelekea upande wowote foleni yake ni masaa4 na kuendelea hadi trafic waje watunusuru
Sitaki kumvinjia heshma Mwkt Mbowe ila ninachokiona mimi kunahitajika mbinu mpya za mapambano ya CCM ukilinganisha kuwa bado CHADEMA ndicho chama kikuu cha upinzani kilichopo. Nimefuatilia kwa umakini mkubwa sarakasi za kijinga na kizembe zilizokuwa zinaendelea ktk uandikishaji wa daftari la...
Unachokisema ni sahihi kabisa na kwa bahati mbaya na sisi wananchi tumekubali kudharauliwa kwa kiasi hiki. Kilichotokea hakikuwa cha kuwaachia vyama vya upinzani pekee kupigania, ilihitajika nguvu ya umma ambayo ni sisi. Kifupi tuu tutahitajika kujilaumu wenyewe maana tumekubali akili ndogo...
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa huu utekaji unaoendelea hautokani na police na usalama wa Taifa. Binafsi nina idadi ya kutosha ya wanangu wa karibu na hata wiki iliyopita tuu lilitokea tukio. Wengine tuliwata kutokea vituo nya polisi na kimoja wapo kimetajwa hapo katika huo mzozo kaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.