Simchukii JPM kwasababu anachukua maamuzi za kijinga, Simchukii JPM kwasababu hana Ufahamu ya Kutosha kuongoza nchi hii, Yeye ni Binadamu na hivyo vipungufu ni kitu cha kawaida, ILA, Namchukia kwasababu ya Ubishi wake wa kutosikia Wananchi wanasema nini. "KATA, FUNGA, VUNJA" hivyo maneno hawifai...
Huyu Mama alikuwa msema kweli! We will never know what actually happened. Ila nachoweza kusema kwamba kutoka Baba jesca amewakumbatia ma ISRAELI, vitu vya kiajabu ajabu vinafanyika.
Tatizo ni kama ukiwa na Fikra zako tofauti na Bossi (baba jesca) basi ata ukinya kwa kuchuchuma watakulaumu kwanini usikae na unye! Hii pia inaonyesha ishara mbaya kwamba replacement wote wawili wa Nape (Mwakyembe na Polepole) wanamsema kila wakipata nafasi. bado Bashe watamteeeeeeesa subirini...
Kijana kadogo muhuni ambae ni mtapeli anakuja kua Mkuu wa Mkoa! WHAT THE **** DO YOU EXPECT???
Samahani Sana JPM, lakini huyo Dogo ashakuharibia kila kitu, this will go down in the History!
Spot On Brother!! Any Body Language Specialist can say Bashite is LYING through his Teeth! Good to know Individuals like you exist who can see the Truth. God Bless you
Bashe ni Mbunge Peke ambae alionya Serikali kwa uhusiano wake na ISRAEL!! Jamani hao Israeli ni Watu Hatari Sana na kuna kitu nimeona huyu JPM anajihusisha sana nao!! Minara za Mawasiliano wanajenga Wao, Vifaa Vya Kisasa Vya Kijeshi wanatuuzia Wao, Nahisi Ile Dili ya NIDA au ID CARD pia walikuwa...
Ujue Roho ya binadamu haina Jinsia yoyote, ni kiumbe tu ambae imebarikiwa na ile Roho na mwongozo wa kuishi kwenye dunia hii wa mda mfupi ishatafsiriwa na ma nabii mbali mbali kutoka Ibrahim mpaka Musa mpaka Solomon mpaka Yesu na kuisha mpaka Muhammad. Kila kiumbe kina sifa zake (haina upungufu...
Nilikuwa nam support JPM all the way, ata udikteta wake poa tu maana yeye sio mwizi kwahiyo kama kunyosha serikali basi udikteta itafaa, LAKINI!!! Hii swala ya ku blanket sakata la Bashite ndio imeniumiza sana, I have lost all hopes on JPM because of this Bashite!
The intention of the West has always been to suppress Africa, they do not want Africa to "THINK" The Only Freedom of Expression which they teach us is of our Bodies!! The thongs are becoming smaller and so are the bras too!! But Ideologies are being buried in one way of the other!
Mhmmm! Mie naona Ruge na Bashite hawakujadiliana vizuri juu ya maada ya Niki Minaj kuwa na Tigo bandia au ya ukweli, basi wakabishanaaaa mpaka Bashite akamtishia kumtaja Ruge kwenye orodha na Ruge vilevile akamtishia na kesi ya kuvamiwa! Unaonaje hiyo theory?? hahaha
RC anabidi ajue mipaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.