Hivi wanawake na nyie mnatamani wanaume kama sisi?

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Kikawaida mwanaume anaweza akamuona mwanamke kwa mara ya kwanza na hapohapo akamtamani, mimi huwa inanitokea sana hiyo, unakutana na msichana either mzuri au aliyeumbwa vizuri na ukamtamani hadi unaongea kimoyomoyo(huyu msichana angekuwa ni mwanamke wangu daah!).

Yaani unamtamani hadi unajisemea namna utakavyomgegeda iwapo angekuwa ni mwanamke wako, sasa vipi kwa wanawake na nyie inawatokea kwamba unamuona mwanaume kwa mara ya kwanza na ukamtamani hapohapo?

Yaani unamtamani kiasi kwamba unahisi kama akugegede?
 
mwanaume aje na viashiria vya pesa kwa kweli huwa naweweseka kiaina na nilishawahi mtongoza mmoja mwenye pesa tatizo alikuwa ananuka jasho na mdomo na hata ubadilishaje haikuwezekana nikampiga chini, sema nilifanikiwa kumuendesha mbaya na kula pesa yake hatari.. sababu nilimtongoza halafu baada ya game nikamtengenezea mazingira ya kuwa ajafanya kitu , haloo kama hupo humu pole kaka ila ndiyo hivyo tena no longer
na kuna ambao nawatamani kwa maumbo yao hasa nikiwa na hamu yani mda sijaguswa nakuta nikiona kidume cha aina fualani namkadiria sema ndiyo hivyo uwezi mfuata sababu nyege zikiisha akili ikirudi ni hatari wengine wanaganda...
 
Dalili za ushoga zinaanzaga hivyohivyo, suala la mwanamke kumtamani mwanaume we unaliweka akilini hadi kuhoji ili iweje, kesho utaanza kutamani wanaume wenzako wale wenye sifa zitakazokuwa zimetajwa katika uzi huu, then utaanza kutamani waufanye, sitaki tukupoteze wanaume ni wachache kupoteza hata mmoja ni hasara kubwa sana
 
Ahaaaaaa....aisee wewe uko muwazi sana, yaani hupepesi macho kujifanya hutaki kumbe unataka
mpunga ndio mpango mzima, bila pesa hana nafasi kabisa kwako . Falsafa ya friends for benefit unitumia vizuri sana mkuu.
mwanaume aje na viashiria vya pesa kwa kweli huwa naweweseka kiaina na nilishawahi mtongoza mmoja mwenye pesa tatizo alikuwa ananuka jasho na mdomo na hata ubadilishaje haikuwezekana nikampiga chini, sema nilifanikiwa kumuendesha mbaya na kula pesa yake hatari.. sababu nilimtongoza halafu baada ya game nikamtengenezea mazingira ya kuwa ajafanya kitu , haloo kama hupo humu pole kaka ila ndiyo hivyo tena no longer
na kuna ambao nawatamani kwa maumbo yao hasa nikiwa na hamu yani mda sijaguswa nakuta nikiona kidume cha aina fualani namkadiria sema ndiyo hivyo uwezi mfuata sababu nyege zikiisha akili ikirudi ni hatari wengine wanaganda...
 
mwanaume aje na viashiria vya pesa kwa kweli huwa naweweseka kiaina na nilishawahi mtongoza mmoja mwenye pesa tatizo alikuwa ananuka jasho na mdomo na hata ubadilishaje haikuwezekana nikampiga chini, sema nilifanikiwa kumuendesha mbaya na kula pesa yake hatari.. sababu nilimtongoza halafu baada ya game nikamtengenezea mazingira ya kuwa ajafanya kitu , haloo kama hupo humu pole kaka ila ndiyo hivyo tena no longer
na kuna ambao nawatamani kwa maumbo yao hasa nikiwa na hamu yani mda sijaguswa nakuta nikiona kidume cha aina fualani namkadiria sema ndiyo hivyo uwezi mfuata sababu nyege zikiisha akili ikirudi ni hatari wengine wanaganda...
Wewe utatuletea ukimwi..uhame kwenye familia yetu
 
Back
Top Bottom