Ala msiabaike na machozi ya watu. Wanaolia wengi ni jamii ya wanawake, kumbekeni Julia kwa mwanamke ni Tania yake maana mwanamke Julia akiwa nafuraha, huzuni, akipigwa, ukimkosea etc,,,hivyo Basi watu wengi wanaotoa machozi pale wanaolia wanakua wa ambukizana tu.
Daaah. Nakumbumbuka mwaka 2012. Nilikuwa natoka Kigoma naenda Arusha Chuo cha uasibu Arusha. Nilipo fika Arusha nilikuwa sijui pakuanzia wala pakuishi. Katika hali ya kuuliza nikaoneshwa nipande daladala za njiro. Kipindi naelekea stand nilikutana na Baba mmoja akaniambia na yeye anaelekea Huko...
Oyooiiiiiii. Nitafute kupitia namba hii 0718748500. Nipo kigoma na hayo madini Ni kopa Nina experience na hicho kitu. Ulipo pata kuna mwamba wa hayo mawe.
Ma Beki 3 huwa Ni watam saaaaaaaaaanaaah. Mi napiga sana. Na huwa nawapenda kuliko hata Hawa wana jiita wa mjini. Beki Tatu kwangu huwa katizi na sasa kwangu Ni na Beki 3 na piga like mke mwaka sasa wife haja jua.
Vyungu vya nyuklia kujaribiwa na nime pata taharifa kuwa, vimeanza safari toka Kongo na vita fika kigoma Leo ; mazoezi ya kumshambulia musiba ya tafanywa kwa kushirikiana na wa Ujiji, kasulu, Kibondo, na republic of sumbawanga. Musiba kayakoroga. Watakutumia kimbunga kama cha buyungu, kakonko...
Hapo nyuma tuliweza kutawaliwa na Mzungu na tulipata faidi kubwa sana, Mzungu aliweza kututengenezea reli ya Kati, tuliweza kuwa na meli, vile tuliwa na elimu bora na kila mwanafunzi aliweza kuongea kingereza. Niliwahi kuongea na Mzee moja aliniambia kuwa enzi za mjerumani tanganyika ilikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.