Kwanza, nitumie nafasi hii kuwashukuru wadau wote tuliokuwa pamoja mwaka 2023 na hatimae tunaenda kuumaliza mwaka huu, Ombi letu kwa Muumba ni tuumalize salama, ki-ujumla ulikua mwaka poa!
Namshukuru Mungu kwa yote!
Kitu cha pili, ni kwamba mwaka 2024 tutaendelea tutakapoishia mwaka huu. Lengo...
Kaka ili ikusaidie nini hasaaa?? Nipo hapa kwaajili ya ku-prove kuwa nipo right?? Nadhani post imejitosheleza kueleza nini nilichotaka kuongelea na nadhani hilo ndo lilikuwa lengo hasaaa, pia sipo hapa kwaajili ya kuonyesha kuwa nipo sahihi ama laa kwa kiasi gani.
Barikiwa kijana.
Nafurahi kupitia thread hii niliyoleta nimezidi kujifunza mengi sana, sometimes nakuwa kimya nafatilia yanayoendelea, naona vile watu mpo vizuri man na mnazidi kutufunguwa I really apreciate hasa nondo zako unazozimwaga hapa, na pia naona watu wengine wanavyojaribu kukatisha tamaa, nimeona kuna...
Sure man baada ya ile disc ilibidi nikacheki and niliona FED aliongea hizo mabadiliko,,,, but not only that reaction ya Market na news for real imekuwa booom[emoji91][emoji91][emoji23] ukicheza kuna namna unalia but kuna kitu hiki nimekifatilia mwaka wa tano now,,, News hazibadilishi Direction...
Bro tunashauri kama hujawa vizuri kwenye Trading kama una kazi yako unaifanya ishkilie na wala usiidharau, maana trading might dissapoint you na ukawa broke,
Ila utakapokuwa tayar vizuri na unaona unaingiza profits zaidi ya kazi unayoifanya hapo maamuzi sasa ni yako, ila hatushauri katika...
Bro its simple .... Techinical analysis inakwambia where to enter while Fundamentals zinakwambia when to enter... so ni vitu kamwe haviwezi achana and ipo hivi hakuna kitu itawahi badilika, Market inaendeshwa na IPDA na haitawahi badilika hicho kitu,,,,, utapotea kama mtu atakuwa akitumia ma...
Bro siku hizi things zimekuwa simplified hauhitaji kuchimba sana kuhusu uchumi wa nchi husika ili ujue currency yake ipoje hauhitaji kuwa deep in Finance ili ufanye Forex, kuna sites na Apps mbali mbali ambazo zinakupa mwanga wa nini kinaenda kutokea, utakubaliana na mimi kuna Apps za news hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.