Sasa ndugu unalaumu je ulishawah kwenda kuomba msaada wa kisheria kwao na wakakataa?kama mahakama iliweka stop order na bado tunabomolewa we ulitaka wao wafanyeje ikiwa mahakama imeshindwa kuheshimiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepita na hapa sinza white inn kuna pub zinaitwa shikamoo na marahaba wamekusanya vyao muhudumu wa marahaba kagoma wakampasua mapokezi kwa chupa pakapasuka....kisha wakapiga moja hewan ya kutuaga aiseee!!!
We ndo unatupa shaka maana jiji kama jiji linatakiwa kuongozwa na meya na si mkuu wa mkoa maana huu sio mkoa ni jiji na hii ndo maana inaleta mkanganyiko katika maamuzi au uwajibikaji maana kuna serikali ambayo ni serikali kuu amabyo ni mteule wa mkulu wa kaya na serikal za harmashauli ambazo...
Habari wana JF,
Hivi kwanini jiji la Dar liitwe mkoa na kuongozwa na Mkuu wa Mkoa badala ya meya wa jiji? Je kuna majiji mengine duniani yanaitwa mikoa?
N kuelimishwa maana hili swala linanitatiza maana majiji mengi dunia nasikia yanaitwa majiji na kuongozwa na ma Meya wa majiji hayo ni wakuu...
Jaman hii ni uhakiki vyeti vya kidato cha 4,6& vya ualimu kwa watumish wa umma.....na sio kama mleta mada alivyosema kidato cha 4&6 kwa waalimu na watumish wa umma tulekibishe hapo
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Hahahahaha...kampuni inakuwa na wanahisa wengi ila huyu jamaa kamwona mbowe pekee hii inaonesha jinsi gani anavyomtukuza na kumuwaza mbowe katika maisha yake kila panapokucha...kuhusu mikata ya mfanyakazi ma mwajiri huwa siri harusiwi kuiweka adharan kama mfanyakazi hajaridhika na mkataba hawezi...
Bro au we ni askar nn?maana cc tunachokiona majambazi wote wanaokamatwa hostory inaonesha waliuwa askar hadi asakar afe ndo unaliona jesh la polisi linaingia front na utasikia wamekamata majambaz lakini kawaida tu huwwzi kusikia zaid ya "uchunguzi unaendelea nawatoa hofu wananch"..hayo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.