Recent content by Mnywani

  1. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Samia akae karibu na TEC ataishi kwa Amani.

    Nani kakwambia anakaa nao vibaya
  2. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inasemekana pamoja na kujipendekeza kuhudhuria msiba wa Pengo lakini hajatambuliwa, yaani hakutajwa popote

    Kwa Hali hii, pengo ameacha pengo kubwa ktk nchi.
  3. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Sarakasi za Fr. Kitima na Maoni ya watu kwenye Msiba wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo

    Sio kila kitu ni siasa, kilichomleta Raisi msibani kilitimia, kusali, kuaga, na kutoa mkono wa pole. Hayo mengine ni yenu.
  4. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Hivi bado jukwaa liko kifungoni
  5. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Tunahitaji upinzani uliokomaa sio wa kushangilia vifo

    Huyu ndo Mzee Butiku kasema hamfahamu?
  6. Mnywani

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Simbachawane atenguliwa Uwaziri wa Mambo ya ndani ya Nchi

    Nadhan Simbachawene ni Anglican vs Katambi ni Catholic (hii uhakika)
  7. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Hii inaweza kuwa sababu ya kutumbuliwa kwake?

    Na sio mageuzi ya kutoka force kwenda service?
  8. Mnywani

    JamiiForums Tanzania ‘Dada Mkatoliki’ akichangia kwenye kipindi cha 'Malumbano ya Hoja' kuelekea Uchaguzi 2025

    Igizo limefanikiwa malengo yake, mada za haki na amani, maridhiano na maungamo, chuki na mwiko, uchafuzi na uchaguzi, vijana na vijuzi nk, zimesimama kwa muda.
  9. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Majina halisi ya Wakatoliki feki walioandamana yaanza kuvuja, limo la Kidawa wa Mwananyamala

    Kosa kubwa mama yetu Eva alifanya pale Eden ni kuingia kwenye mjadala na shetani, mama Kanisa Tanzania asirudie kosa hilo, shetani ni mlaaniwa, muongo na muuaji, hapaswi kupewa nafasi ya kusikilizwa, atasema nini tofauti na hali yake, evil always evil.
  10. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Hakuna Mwanamama mkatoliki ataandamana akiwa amevaa dela

    Wameshindwa hata kuchukua kitenge Cha wawata, t-shirt ya ycs au hata kanga ya mwaka wa jubilei, ama kweli Mungu akitaka kukuanika, anafunga Kila mlango
  11. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Majina halisi ya Wakatoliki feki walioandamana yaanza kuvuja, limo la Kidawa wa Mwananyamala

    Ni muda sasa viwawa kuanza kufanya dolia ofisi za ubalozi, wakiisha uwaka tutafuata, lengo ni kuwasubiri waje, watwambia nani anawatuma.
  12. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Taifa Stars wanastahili Tuzo ya Amani huko Morocco

    Sisi tumechagua kuwa watu wa amani, sio wa haki...tuelewane na mtu asitupangie.
  13. Mnywani

    JamiiForums Tanzania Kikwete anahudhuria uzinduzi wa majengo ya Serikali kama NANI?

    Mwacheni mzee apumzike
Back
Top Bottom