Igizo limefanikiwa malengo yake, mada za haki na amani, maridhiano na maungamo, chuki na mwiko, uchafuzi na uchaguzi, vijana na vijuzi nk, zimesimama kwa muda.
Kosa kubwa mama yetu Eva alifanya pale Eden ni kuingia kwenye mjadala na shetani, mama Kanisa Tanzania asirudie kosa hilo, shetani ni mlaaniwa, muongo na muuaji, hapaswi kupewa nafasi ya kusikilizwa, atasema nini tofauti na hali yake, evil always evil.
Wameshindwa hata kuchukua kitenge Cha wawata, t-shirt ya ycs au hata kanga ya mwaka wa jubilei, ama kweli Mungu akitaka kukuanika, anafunga Kila mlango
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.