Wasiojilikana sasa wanaanza kubalance matukio ... basi mtu mmoja mwenye Baisikeli ya kijani kauwawa matangazo meengi (ilisikika sauti ya Raisi wa Malawi akilihutubia Taifa)
Ila kama wanabalance sasa sio mbaya wataanza kufuatiliwa tutawajua sasa soon
Namba haziongopi mgawanyo wa namba kwa Taifa letu bado naona umkwamia kwenye aidha awamu ya 6 au sijui ya 5 vyotevyote utakavyoita ila ni Mama Vs Lissu nani alitegemea hili!!!???
Be prepared yajayo yanatisha sana omba usikutanenayo
Ni pattern hizohizo tu 2026 labda kutakua na pattern spot ileile ya Bendera nusu mlingoti baada ya kuandaa taarifa halafu CDF ataingilia kati kwamba Muha aendelee sasa itategemea na yeye akileta yaleyale mambo yake ya Kigoma kama yalivyokuwa yale ya Mwanza na baadae yakaja yale ya Zanzibar basi...
Sasa Bro. Unakuwaje mwanasiasa wa mwaka 2024 ikiwa hujui hip hop ni nini ilitokea wapi kwanini na inaenda wapi
Achana na huko mbelembele kwa kina Senti Hamsini ivi leo hii umesahau Nay wa Mitego amefungiwa mziki mara kadhaa
Roma mkatoliki yuko wapi sasa unaachaje kujua hayo na content zake...
Hivi kumbe kumfariji binadamu mwenzio kunategemea wakati na cheo cha mtu [emoji15][emoji15][emoji15]!!!
CCM mlipofikia hata shetani anawashangaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mh! Kiukweli mwanzo nlikua naelewa vizuri na kushawishika kabisa na maelezo yako kuhusu uwepo wa huu mkataba wa mwitongo, ila tatizo ni hii paragraph ya mwisho kabisa hapo ulipotolea mfano wa familia ya Nyerere story nzima naona kama IMEJIKONTRADIKTI
Mazombiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna wakati naskia aibu kujinadi mi ni muislam kutoka Tanzania coz ni vilaza hajui lolote wapowapo tu hovyo kabisa
"Ni bahati mbaya sana kuwa huijui historia ya Mwalimu na yeye mwenyewe hakupenda historia yake ifahamike "
Nikweli hili limeleta shida sana kwakuwa Mwl. Nyerere halupenda historian yake ifahike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.