Recent content by Mnyalu_

  1. Mnyalu_

    JamiiForums Tanzania Madirisha ya ALMINIUM

    Based on colour. Zipo nyeupe, ipo silver , kuna moja ipo kama reddish brown. Kama sijakosea bei ya aluminium rangi nyeupe huwa juu kidogo ya rangi nyingine hizo. Based on aluminium bar designing style. Kuna bars za kawaida hizi za kawaida mostly zinatumika kwenye nyumba zetu hizi (bei ya hali...
  2. Mnyalu_

    JamiiForums Tanzania Ujenzi huu unafaa?

    Kwa logic ya kawaida kabisa kutumia slab itakuwa gharama zaidi ya kupauwa kwa bati. Reason. Ili slab iwe safe itahijati nguzo (columns) kwa ajili ya kusuport na kusafirisha mzigo kwenda kwenye stable strata ardhini. (Hapa itacost extra materials kama zege, nondo, mbao za formwork n.k) Pia...
  3. Mnyalu_

    JamiiForums Tanzania Tetemeko la ardhi limepita jijini Mbeya

    Nimeexperience pia, nikahisi ni wenge la usingizi.
  4. Mnyalu_

    JamiiForums Tanzania Kwa wenyeji wa mafinga

    Mjiji karibu na stand au sokoni.
  5. Mnyalu_

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Mtoa mada hataki kuongea na nyie ambao hamna maghorofa.. 😁 panapo majaaliwa si kitambo kirefu, mimi pia naanza ujenzi wa ghorofa yangu, uzuri ni kwamba site engineer ni mimi mwenyewe, nina degree ya civil engineering, ramani nimekwishachora (both architectural and structural). Najaribu kufanya...
Back
Top Bottom