Recent content by mnyalu2008

  1. M

    Chanjo ya typhod kwenye kuku wa mayai

    Dodoma hiyo dawa ipo Gentamycin cjui kama ndio hiyo unatafuta au tofauti.Elfu13 mpaka elf15 bei ktk maduka tofautitofauti.
  2. M

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Asante sana Amani kwa elimu nzuri japo ilianza kitambo naami kwangu ni muda muafaka.Na itanifaa sana kwa sasa. Nauliza ktk ujengaji wa banda lipi ni sahihi kuziba pande zote kwa usawa wa tumbo langu na sehemu zote za juu kuacha wazi. Namaama kuzungusha nyavu tu juu.Au kuziba kote na kuacha...
  3. M

    JF is my homeland

    Thanx a lot wana JF!!Nimejifunza mengi,b blessed all
  4. M

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi

    Hongera sana ndugu,nimejifunza mengi katika uzi huu,Ubarikiwe
  5. M

    walimu tuache utan jaman

    duuu.... majanga!!
  6. M

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Unataka nguo zipi dukani or mtumba?kama za dukani kuna sehemu inaitwa Isrii..ndio zinapatikana kwa wingi.
  7. M

    Masanja: Nimevuna mpunga ekari 15 Mbarali Estate - Mbeya

    Hongera sana Masanja,hili ni somo kwetu vijana
  8. M

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Nashukuru sana kichwa mbovu na wadau wote kwa michango yenu mizuri nimeipitia yote na nimeelimika vya kutosha.Nimehamasika na najua kupitia ufugaji wa kuku nitajikwamua kimaisha. Kichwa mbove na wazo la kufuga kuku wa kienyeji (wa nyama) kulingana na elimu niliyoipata nimeona chotara watanifaa...
  9. M

    Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    thanx a lot kwa mawazo mengi mazuri,mumenipanua akili,God bless u all
  10. M

    Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

    kuwa na wazo na kuangalia factors mbalimbali ni mhimu kabla hujaanza
Back
Top Bottom