Chuma
Swali lako ni ni very pertinent. Kabla sija comment ningependa kujua hivi Tido amestaafu kwa umri au ameacha kazi BBC? Kama hakustaafu kwa umri basi swali lako linaumiza kichwa.
Wenye data nyie mnaoishi UK tusaidieni.
Kilitime
Pole ndugu yangu.Inaelekea hujui reality za bongo. Watu mnakuja juu baada ya kuguswa Wagala? Leo mnajidai kuw mnahukia udini? Kama si unafiki ni nini? JF anatawaliwa na hoja. Nataka nipingwe kwa nguvu ya hoja. Je wakurugenzi aliowaajiri Tido si wakristo? Kuna mtu kataja...
FD
Wagala ni wakristo. Yaani wale wakurugenzi wote aliowajaza Tido pale TUT. Mambo ya Tido yanatia kichefuchefu. Hivi JK hayaoni? Ugala, ajira za ugawaji wa sambusa
Tido, enough of it pleaseeeeeeee!!!!!!!
Ninavyomjua mimi Amina ni kijana mzuri. Lakini all said, dini zote zinafundisha kuzungumza mazuri ya wafu wetu. Lets do justice to Amina. Mwacheni apumzike kwa amani. Mbona mna haraka na kiherehere? Si wote tunakwenda aliko Amina? Tutakutana nae huko na mwenye maswali atamuuliza! Au...
Mgagagigikoko
hodi hodi
You are mistaken. Tido haajiri kwa chupi/sambusa. Nasikia Tido Mhando mdini wa kutupwa. Alipokuwa bbc kaajiri wagala wenziwe na sasa yupo tut anaajiri wagala tu. mkurugenzi wa habari mgala, mkurugenzi wa radio mkiristo, mkurugenzi wa tv mkiristo! Kweli nchi itakwenda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.