WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA NEW HABARI (2006) LTD WATOA SIKU 14 KWA MFANYABIASHARA ROSTAM AZIZ KULIPA MAFAO YAO
Na Andrew Chale, Dar es Salaam.
WAFANYAKAZI zaidi ya 200, Waliokuwa wakifanyakazi katika kampuni ya New Habari (2006) Ltd, wametoa siku 14 kwa Mmiliki wa Kampuni hiyo, Mfanyabiashara...
Na Andrew Chale(MNGONI ORG)
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ambaye kwa sasa amekuwa akizidi idadi kubwa ya mashabiki amekuwa ndo msanii anayezungumziwa kila kukicha kufuatia kupost vitu vya kifahari.
Msanii Diamond amekuwa akipost magari na majumba pamoja na...
Kama huna fact uliza. Nchi kwa sasa imepiga hatua kubwa sana na Maboresho Sekta ya Afya imechangia Tanzania kuwa na watalaam wengi na vifaa vya kutosha. Uliza kifaa gani na watalaam wangapi upewe na takwimu.
Pia; Dawa zipo kwa vituoni zipo kwa asilimia 80 na wagonjwa wa msamaha wanaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.