2- Matumizi mabaya ya rasilimali za nchi
3- Watanzania kukosa haki ya kuchagua viongozi na kuchaguliwa
4-Serikali kukandamiza wasomi wenye mawazobadala na kuendekeza uchawi.
5-Katiba mpya inahitajika itakayo mpunguzia rais madaraka.
Tusiendelee na huu ujinga wa kusema Mungu yupo upande wa Lisu!! Hilo linajulikana!! Ndio hata Mungu amesema kwenye Matayo 7:7 , kwamba Kuna wakati wa kuomba, Kuna wakati wa kuchukua hatua( bisheni) na Kuna wakati wa kutafuta!!
Sasa kama maombi ni Kila kitu si biblia isingesema "bisheni au tafuteni"!
Najisikia vibaya kusoma Uzi huu!! Tundu ametimiza wajibu wake, ss tumefanya nn? tunasoma Uzi huu na kuendelea na maisha yetu kama vile, hakuna kitu kilichotokea!! Pole pole amesema, lakini watu tumekaa kimiya!! Hivi mpaka yakukute wewe ndio utachikua hatua!? Sasa utachukuaje hatua wakati...
Mshana, naamini wewe ni mkongwe, ccm Hawa ambao hawasikii! Wala hawana Soni kabisa!! Hawa dawa Yao ni mapinduzi ya umma tu!! Ndio lugha wanayoweza sikua!! Hizi lugha zingine sijui nani kaongea, hizo kwao ni kekele za mlango!! Unamjua Kenge? Kenya wanamwita mbulukenge, Ili asikie kuwa amepigwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.