Recent content by MNFUMAKOLE

  1. M

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    Pia kifo Cha Mohamed Mtoi kilituumiza sana!
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta MTU mzima wa kunifariji

    Huzuni zimeisha?
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mama Samia utaongoza nchi ya matukio tu! kwa miaka yako yote iliyobaki!

    Comredy upo!? Nimefurahi kukuona tena!
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiuhalisia wananchi wamefanikiwa zaidi kuliko serikali

    Serikali ya wajinga, hakuna mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri huko ccm!
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kiuhalisia wananchi wamefanikiwa zaidi kuliko serikali

    Serikali ya wajinga, hakuna mwenye uwezo wa kufikiri huko ccm!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ‘Ulipata’ kura zaidi ya milioni 31 lakini leo umejificha

    Nasisi tunamuuliza, Hangaya where you are?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sisi bado tupo tu, wakifungua nchi sisi hao barabarani sisi hatujaondoka wala haibadilishi chochote lazima sababu kuu za maandamano zitatuliwe kwanza

    2- Matumizi mabaya ya rasilimali za nchi 3- Watanzania kukosa haki ya kuchagua viongozi na kuchaguliwa 4-Serikali kukandamiza wasomi wenye mawazobadala na kuendekeza uchawi. 5-Katiba mpya inahitajika itakayo mpunguzia rais madaraka.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jaribio la kuivamia JF kwa kusudi la kumkamta Maxence Melo halikubaliki na tunawaonya watu wanaoshiriki vitendo kama hivyo

    Umeona Sasa watu uliokuwa unawashabikia jinsi walivyo wa hivyo!?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Tusiendelee na huu ujinga wa kusema Mungu yupo upande wa Lisu!! Hilo linajulikana!! Ndio hata Mungu amesema kwenye Matayo 7:7 , kwamba Kuna wakati wa kuomba, Kuna wakati wa kuchukua hatua( bisheni) na Kuna wakati wa kutafuta!! Sasa kama maombi ni Kila kitu si biblia isingesema "bisheni au tafuteni"!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Najisikia vibaya kusoma Uzi huu!! Tundu ametimiza wajibu wake, ss tumefanya nn? tunasoma Uzi huu na kuendelea na maisha yetu kama vile, hakuna kitu kilichotokea!! Pole pole amesema, lakini watu tumekaa kimiya!! Hivi mpaka yakukute wewe ndio utachikua hatua!? Sasa utachukuaje hatua wakati...
  11. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Sasa wakisepa watarudije makwao? Mfano jana Ngere ngr.tufanye umetolewa Kinguluwila au Moro mjini. Halafu watarudije? Dawa ni kugoma kabisa kwenda.
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Mshana, naamini wewe ni mkongwe, ccm Hawa ambao hawasikii! Wala hawana Soni kabisa!! Hawa dawa Yao ni mapinduzi ya umma tu!! Ndio lugha wanayoweza sikua!! Hizi lugha zingine sijui nani kaongea, hizo kwao ni kekele za mlango!! Unamjua Kenge? Kenya wanamwita mbulukenge, Ili asikie kuwa amepigwa...
Back
Top Bottom