Recent content by MNFUMAKOLE

  1. M

    Natafuta MTU mzima wa kunifariji

    Huzuni zimeisha?
  2. M

    PostGE2025 Kiuhalisia wananchi wamefanikiwa zaidi kuliko serikali

    Serikali ya wajinga, hakuna mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri huko ccm!
  3. M

    PostGE2025 Kiuhalisia wananchi wamefanikiwa zaidi kuliko serikali

    Serikali ya wajinga, hakuna mwenye uwezo wa kufikiri huko ccm!!
  4. M

    PostGE2025 ‘Ulipata’ kura zaidi ya milioni 31 lakini leo umejificha

    Nasisi tunamuuliza, Hangaya where you are?
  5. M

    Sisi bado tupo tu, wakifungua nchi sisi hao barabarani sisi hatujaondoka wala haibadilishi chochote lazima sababu kuu za maandamano zitatuliwe kwanza

    2- Matumizi mabaya ya rasilimali za nchi 3- Watanzania kukosa haki ya kuchagua viongozi na kuchaguliwa 4-Serikali kukandamiza wasomi wenye mawazobadala na kuendekeza uchawi. 5-Katiba mpya inahitajika itakayo mpunguzia rais madaraka.
  6. M

    Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Tusiendelee na huu ujinga wa kusema Mungu yupo upande wa Lisu!! Hilo linajulikana!! Ndio hata Mungu amesema kwenye Matayo 7:7 , kwamba Kuna wakati wa kuomba, Kuna wakati wa kuchukua hatua( bisheni) na Kuna wakati wa kutafuta!! Sasa kama maombi ni Kila kitu si biblia isingesema "bisheni au tafuteni"!
  7. M

    Waraka wa Tundu Lissu. Asema kesi yake ni Hukumu ya Kifo kwa Demokrasia ya Tanzania

    Najisikia vibaya kusoma Uzi huu!! Tundu ametimiza wajibu wake, ss tumefanya nn? tunasoma Uzi huu na kuendelea na maisha yetu kama vile, hakuna kitu kilichotokea!! Pole pole amesema, lakini watu tumekaa kimiya!! Hivi mpaka yakukute wewe ndio utachikua hatua!? Sasa utachukuaje hatua wakati...
  8. M

    GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Sasa wakisepa watarudije makwao? Mfano jana Ngere ngr.tufanye umetolewa Kinguluwila au Moro mjini. Halafu watarudije? Dawa ni kugoma kabisa kwenda.
  9. M

    GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Mshana, naamini wewe ni mkongwe, ccm Hawa ambao hawasikii! Wala hawana Soni kabisa!! Hawa dawa Yao ni mapinduzi ya umma tu!! Ndio lugha wanayoweza sikua!! Hizi lugha zingine sijui nani kaongea, hizo kwao ni kekele za mlango!! Unamjua Kenge? Kenya wanamwita mbulukenge, Ili asikie kuwa amepigwa...
  10. M

    Mbuzi wa mtaani

    Huku Kahama, inasemekana Kuna mtu alikuwa na mbuzi wa aina hio. Sasa wahuni waliwaiba wote! Na hawakuzulika!!
Back
Top Bottom