Recent content by Mnafiki Wa Kujitegemea

  1. M

    Mrejesho: Baada ya kumpa kibano cha maana amekubali kuwa walishaga mnanilii tokea sekondari😥

    Una watoto hapo nyumbani kwako? Kawaida ya watu waliojiharibu hutamani na wengine pia waharibikiwe. Je,uko tayari kuharibikiwa na wewe? Watakao kuwa wanakuja kufuata kisamvu hapo nyumbani kwako hata mkeo hawata muacha salama,watamtumia tena mbele na nyuma. Vipi,uko tayari kuyavumilia? CHAGUA MAISHA.
  2. M

    Gerson Msigwa: Hakuna uvamizi uliofanyika katika Ofisi za JamiiForums

    Hiyo barua ilikuwa kuuuuubwa sana mpaka ipelekwe na watu kadhaa?
  3. M

    Ninaishi na maumivu

    Pole! Jitahidi Jitahidi kukubaliana na kilichotokea ili ukawe makini zaidi hata barabarani.
  4. M

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    K Kama hizo taarifa siyo za kweli basi zingelikuwa zilisha kanushwa.
  5. M

    Tutarajie hukumu: je ni onyo Kali au fidia..?

    Kwa hiyo tutarajie bendera kupeperuka nusu mlingoti?
  6. M

    Bukoba mtapokea utapeli wa CCM tena?

    Sasa tutaishi wapi?
  7. M

    Hivi Leo kuna Sikukuu yoyote ya Kitaifa?

    Unamaanisha kuwa bendera hazipeperuki leo?
  8. M

    Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Na hili ndilo jibu sahihi la swali lake. Safi sana mkuu.
  9. M

    TBT (2011): Mnamkumbuka Babu wa Loliondo?

    Huyu Mzee kumbe alishafariki? Sikujua kwakweli,huenda hii habari ilifunikwa na ile ya March 17 2021.
  10. M

    Wachezaji wa kiafrika ambao wanacheza kwenye ligi kuu ya England 2025/26

    Tunachokiweza kwa ufanisi mkubwa ni KUTEKA.
  11. M

    Kosa kubwa la Polepole ni kuongelea CCM kuliko taifa

    Yawezekana uko sahihi lkn pia mimi sijfahamu dhamira ya huyu jamaa ni nini. Huenda anataka share kubwa na kanyimwa ama anaanza kutambua kuwa wale maadui yaani MARADHI,UMASIKINI NA UJINGA hawapo tena bali adui MMOJA TU na ni MBAYA SANA KUWAZIDI WALE WA ZAMANI naye ni CCM?
  12. M

    I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Mtu akishakuwa ni Chawa anapoteza 89% ya uwezo wake wa kufikiria. Haya uliyasema hapa ni magumu sana kwake kuyaelewa.
Back
Top Bottom