Recent content by Mnafiki Wa Kujitegemea

  1. M

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Wanaweza kuweka mpira kwapani,tatizo Lissu ndio ana mpira na anapiga vyenga,danadana kiasi cha kwamba hapotezi umiliki wa mpira,sasa namna ya kuupata huo mpira wauweke kwapani ndio mchakato mgumu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume wote, hili linatuhusu kwenye malezi!.

    70 years of age unasimamia miradi tena mikoani?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wanaume wote, hili linatuhusu kwenye malezi!.

    Daah! Hatari sana. Huu Usabato naanza kuuweka pembeni kimtindo ili nifungue sub-branch mapema ili nizoeleke mapema.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dangote anambembelezea Rais Samia ujenzi wa mtambo mkubwa wa umeme 2000MW wa makaa ya mawe baada ya kuhamishia ujenzi wa refinery Mombasa kwa hasira?

    Nadhani matangazo ya serikali ya uwepo wa ugaidi nchini yalimfanya jamaa achukue hatua hiyo.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Kama ambavyo Watanganyika tunaisaidia serikali kutangaza vivutio vya utalii CHADEMA nao wameona waisaidie serikali kuitangazia Dunia kuwa Tanzania hakuna amani kwakuwa ugaidi umetamalaki,huenda hii ikawa ni assist ya kipekee kabisa kutoka CHADEMA kwenda serikalini.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jaribu kujiweka katika nafasi ya Samuya, ungefanyaje kutuliza upepo?

    Who are you atamuuliza nani tena sasa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Ujasiri wa karne Sabasaba. Sisi ni Washindi. Aluta Continua!

    Kwa hiyo mabomu,mabunduki,visu na zana nyinginezo wamezibeba kama mizigo tu? ROMA kuna mstari anasema kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo kwa shingo,kumbe ni kweli naona leo haukuwa mzigo kwa shingo tu,leo hata mabega yamebeba mizigo. Ukiangalia movie ya ANACONDA mwanzoni wale jamaa huwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Duh barabara nyeupeeeee, kweli kumbukumbu za Oktoba 29 hazijafutika

    Ni hasara kubwa sana kwa taifa la Tanganyika ,wafanya biashara wa Tanganyika na waliokuja kutoka ughaibuni.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Serekali yetu ni lazima itafute,ishughulikie vyanzo vyote vinavyoanzisha maandamano

    Mi nadhani vyanzo vinafahamika. Kutekwa na kupotezwa kwa Watanganyika halafu raia wa Nchi nyingine anajibu kuwa kifo ni kifo tu chaweza kuwa chanzo kimoja wapo. Viongozi wa Serikali kusema kuwa mauaji ya October 29 yalifanywa na raia wa kigeni na wakatoka salama hao wauaji ni chanzo kingine. Lkn...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mchome: Serikali imwachie Tundu Lissu, amekaa gerezani mwaka mmoja na nusu kwa kesi ya mchongo

    Siyo CHADE SIYO CHADEMA tu,Lissu TANGANYIKA NA WATANGANYIKA WENYE AKILI TIMAMU WOOOOTE TUNAMUHITAJI.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Lab Labda niulize swali kwanza; Huyu dada aliwahi kuolewa,ameolewa ama bado? Yasije yakawa kama ya Joyce Kiria!
  12. M

    JamiiForums Tanzania HYPOTHETICAL: CHADEMA mkipewa magari na Watawala mtapokea na kushukuru?

    Kwa hiyo TLS ni chama cha siasa kama ilivyo kwa CHADEMA au TLS ni taasisi ya CHADEMA?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tunahoji: Yule ‘Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu’ alifikishwa mahakamani?

    Maigizo mengine wawe wanamuomba Masele chapombe ushauri kwanza.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni Kweli Tayari Imeshapangwa Portugal achukue World Cup 2026?

    Labda sisiemu ndio wanaiongoza fwifa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Zinazodaiwa kuwa Meseji za Polisi wakichat kumteka Heche zavuja

    Lini wamepata hiyo akili?
Back
Top Bottom