Wanaweza kuweka mpira kwapani,tatizo Lissu ndio ana mpira na anapiga vyenga,danadana kiasi cha kwamba hapotezi umiliki wa mpira,sasa namna ya kuupata huo mpira wauweke kwapani ndio mchakato mgumu.
Kama ambavyo Watanganyika tunaisaidia serikali kutangaza vivutio vya utalii CHADEMA nao wameona waisaidie serikali kuitangazia Dunia kuwa Tanzania hakuna amani kwakuwa ugaidi umetamalaki,huenda hii ikawa ni assist ya kipekee kabisa kutoka CHADEMA kwenda serikalini.
Kwa hiyo mabomu,mabunduki,visu na zana nyinginezo wamezibeba kama mizigo tu?
ROMA kuna mstari anasema kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo kwa shingo,kumbe ni kweli naona leo haukuwa mzigo kwa shingo tu,leo hata mabega yamebeba mizigo.
Ukiangalia movie ya ANACONDA mwanzoni wale jamaa huwa...
Mi nadhani vyanzo vinafahamika. Kutekwa na kupotezwa kwa Watanganyika halafu raia wa Nchi nyingine anajibu kuwa kifo ni kifo tu chaweza kuwa chanzo kimoja wapo.
Viongozi wa Serikali kusema kuwa mauaji ya October 29 yalifanywa na raia wa kigeni na wakatoka salama hao wauaji ni chanzo kingine. Lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.