Recent content by Mnafiki Wa Kujitegemea

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mdogo wake Nchimbi atekwa

    Mkimaliza kutushughurikia,mtashughurikiana wenyewe kwa wenyewe.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Mbona MANGE KIMAMBI alimpkea Samia huko Marekani hakuna aliyemfokea,leo Lissu kuonesha utofauti kati ya KIFO NI KIFO TU na UTU imekuwa nongwa?
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Gaming board lazima wameshabugia hizo 7 na wanachokifanya ni kupiga danadana tena upande wa kibendera cha uwanjani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Mpe KIBATALA hizo 7 umalizane na hao wahuni. Lkn mkuu,mbona ulichelewa sana kuwaanika?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Deni limenifunga kazini nataka kutoroka nikalipe kidogo kidogo

    Kama wewe ni wa kiume,tarajia mashitaka ya kumbaka mke wa boss wako.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabra Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Nimesoma,ndani kuna maneno MBAKA badala ya MPAKA. Nimeangalia pia utambulisho ambao utambulisho ambao ni Mr X tz,ukisemacho ni kweli wala siyo maoni.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ded-Kilindi Tanga amnyanyasa mwalimu mpaka aache kazi?Mh.Waziri mkuu ingilia kati suala hili.

    Hizo zana zilikuwa ni zipi mkuu nami nijifunze kidogo?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ded-Kilindi Tanga amnyanyasa mwalimu mpaka aache kazi?Mh.Waziri mkuu ingilia kati suala hili.

    Kama bado yuko CWT acha anyooshwe tu. NB,huyu Mwl ni miongoni mwa wanaowabeba watesi wa Taifa hili mabegani mwao kwa nguvu zooote.
  9. M

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Wanafanya hivyo kwa makusudi na wala siyo bahati mbaya. Yaani Lissu aseme Magufuri ni dikiteta UCHWARA lkn alitoka salama licha ya yule jamaa kumpania leo hii mtu mwingine aweze kumfunga! Wanamchelewesha tu ili ionekane bayana kuwa siyo tu kwamba wanasheria wetu huwa wanagalagazwa huko...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Kumbe jamani! Bora akae huko ijapo anaonewa maana hili zigo la lawama za kupotea kwa huyo jamaa ni lazima wale police wangelimtwisha yeye.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Endapo atatubu, WanaCCM tumsaidie mwenyekiti wa chama rafiki CHADEMA afutiwe kesi yake inayoweza kufanya aende jela maisha

    Yuko tayari kulipa gharama na siyo kutembelewa gerezani usiku.
  12. M

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Siku ya Jumanne tarehe 15 Mwaka 2026 saa 10 jioni neno DPP litasikika mahakamani.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tabora: Baba wa watoto 17 atoweka kwa siku 10 kusikojulikana

    Labda yuko kwa Sophia!
Back
Top Bottom