Una watoto hapo nyumbani kwako?
Kawaida ya watu waliojiharibu hutamani na wengine pia waharibikiwe.
Je,uko tayari kuharibikiwa na wewe?
Watakao kuwa wanakuja kufuata kisamvu hapo nyumbani kwako hata mkeo hawata muacha salama,watamtumia tena mbele na nyuma.
Vipi,uko tayari kuyavumilia?
CHAGUA MAISHA.
Yawezekana uko sahihi lkn pia mimi sijfahamu dhamira ya huyu jamaa ni nini.
Huenda anataka share kubwa na kanyimwa ama anaanza kutambua kuwa wale maadui yaani MARADHI,UMASIKINI NA UJINGA hawapo tena bali adui MMOJA TU na ni MBAYA SANA KUWAZIDI WALE WA ZAMANI naye ni CCM?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.