Naitwa J, umri wangu ni miaka31, naishi Dar, elimu shahada ya kwanza, dini Mkristu, situmii kilevi chochote, nimtakae awe na umri 25-36, awe mweupe, elimu kidato cha nne mpaka shahada.
Tuwasiliane kwa 0689899165.
Nahitimisha, asanteni
Habari,
Natafuta mwanamke wa kuoa mwakani,elimu yangu ni shahada ya biashara (uhasibu),naishi Dar umri wangu ni miaka 31.nimtakae awe na miaka 25-33,awe mweupe,asiwe na mtoto,elim shahada,mwenye mapenzi ya dhati na mvumlvu,ambae anahofu ya mungu,alie jiajiri au kuajiriwa nahitimisha.
Karibu sana
Habari Wakuu,
Najitokeza kutafuta mke wakuoa, mimi ni mwanaume rijali naishi Dar. Sifa zangu situmii kilevi chochote. Ni maji ya kunde, mwenye umri wa miaka 32, sina mtoto.
Nimtafutae awe na miaka 24-34, awe mweupe, awe anajishughulisha na kazi yeyote mjasiriamal au mwajiriwa, asiwe na mtoto...
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni 30 natafuta mke wa kuoa.Naishi Dar es salaam kwa mawasiliano zaidi ni pm usisahau kuweka namba ya Simu.Ni mwajiriwa,Elimu yangu ni Chuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.